IzukeneJr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 758
- 753
Salaam!
Kabla sijaeleza dhana nzima ya andiko langu naomba kutoa mfano huu,
Tunatambua kwamba kuna sayari 9 ulimwenguni dunia ikiwa mojawapo (ingawa haijulikani kama ndizo sayari pekee zilizopo).
Chukulia leo hii tukachukua watoto kama 20 wa kike na wa kiume, tukawapandisha kwenye ndege tukawapeleka katika sayari mojawapo huko juu ambapo kuna uwezekano wa kuishi, tukawaacha huko tukarudi duniani. Baada ya miaka 20 watoto wale hawatajua walikotokea, watazaliana na kizazi kipya kitaanza huko na maisha yataendelea pasipo kujua kwamba kuna sehemu inaitwa dunia na kwamba ndiko walikotoka.
Je, tunaaminije kwamba na sisi hatuko kama mfano niliotoa hapo juu?
What if, katika sayari flani tusiyoijua kuna binadamu kama sisi wanaishi na huko ndo kuna chanzo hasaa cha binadamu.
What if babu zetu wa kwanza walishushwa tu wakatelekezwa huku duniani basi nao wakaanza kuzaliana na wakakua nao wakazaa na ikawa ndio dunia hii ambayo hatujui hata tulitokea wapi.
Watu wanaongelea issues za alliens na UFOs tunawaona wapuuzi, what if kuna kitu hatukijui? What if kuna zaidi ya sayari 9 tuzijuazo? And what if katika sayari flani ndiko binadamu hasa alitengenezwa na wakaanza kuzaliana?
Ninafikiria kwa sauti tu.
Kabla sijaeleza dhana nzima ya andiko langu naomba kutoa mfano huu,
Tunatambua kwamba kuna sayari 9 ulimwenguni dunia ikiwa mojawapo (ingawa haijulikani kama ndizo sayari pekee zilizopo).
Chukulia leo hii tukachukua watoto kama 20 wa kike na wa kiume, tukawapandisha kwenye ndege tukawapeleka katika sayari mojawapo huko juu ambapo kuna uwezekano wa kuishi, tukawaacha huko tukarudi duniani. Baada ya miaka 20 watoto wale hawatajua walikotokea, watazaliana na kizazi kipya kitaanza huko na maisha yataendelea pasipo kujua kwamba kuna sehemu inaitwa dunia na kwamba ndiko walikotoka.
Je, tunaaminije kwamba na sisi hatuko kama mfano niliotoa hapo juu?
What if, katika sayari flani tusiyoijua kuna binadamu kama sisi wanaishi na huko ndo kuna chanzo hasaa cha binadamu.
What if babu zetu wa kwanza walishushwa tu wakatelekezwa huku duniani basi nao wakaanza kuzaliana na wakakua nao wakazaa na ikawa ndio dunia hii ambayo hatujui hata tulitokea wapi.
Watu wanaongelea issues za alliens na UFOs tunawaona wapuuzi, what if kuna kitu hatukijui? What if kuna zaidi ya sayari 9 tuzijuazo? And what if katika sayari flani ndiko binadamu hasa alitengenezwa na wakaanza kuzaliana?
Ninafikiria kwa sauti tu.