Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 313
- 2,649
Wakati wa Chuma, tukilalamikia vitendo vya utekaji na the so called “Task Force” kupoteza watu (Kina Ben Saanane etc), kesi za ajabu ajabu (kina Kabendera, Maxence, Eyakuze etc) Wambura alikuwa ZCO na sasa ni IGP.
Wakati huo, ndo ukaibuka msemo wa “Wasiojulikaka”.
Kama mtakumbuka, hadi kesi za boss wa JF, msaidizi wake Wambura alikuwa Kingai (sasa ni DCI) na alionekana mahakamani akitoa ushahidi dhidi ya Maxence Melo (kuna thread humu JF, hii hapa akihojiwa la Lissu Mei 2017 - Kesi namba 456: Jamhuri dhidi ya JamiiForums - Oilcom na Uchakachuaji/Ukwepaji kodi bandarini Dar )
Na sasa? Mafwele ni ZCO… Guess what?
Kwa wale mlio Idara, angalieni mtu flani ambaye amepanda cheo hapo idarani ambaye kimsingi hakustahili ila hamuelewi kafikaje. Yeye ndo daraja la “wasiojulikana”. Kuwarahisishia - ana taaluma (ya kubumba) ya Sheria.
Story hii itaendelea na mtaielewa one day!
Wakati huo, ndo ukaibuka msemo wa “Wasiojulikaka”.
Kama mtakumbuka, hadi kesi za boss wa JF, msaidizi wake Wambura alikuwa Kingai (sasa ni DCI) na alionekana mahakamani akitoa ushahidi dhidi ya Maxence Melo (kuna thread humu JF, hii hapa akihojiwa la Lissu Mei 2017 - Kesi namba 456: Jamhuri dhidi ya JamiiForums - Oilcom na Uchakachuaji/Ukwepaji kodi bandarini Dar )
Na sasa? Mafwele ni ZCO… Guess what?
Kwa wale mlio Idara, angalieni mtu flani ambaye amepanda cheo hapo idarani ambaye kimsingi hakustahili ila hamuelewi kafikaje. Yeye ndo daraja la “wasiojulikana”. Kuwarahisishia - ana taaluma (ya kubumba) ya Sheria.
Story hii itaendelea na mtaielewa one day!