bottleneck
Member
- Oct 13, 2016
- 42
- 13
Shule ya Helasita Sekondari iliyopo Mtoni Kijichi - Temeke jijini Dar es salaam, inatangaza nafasi za kazi ya ualimu kwa masomo yafuatayo.
Physics/Mathematics (nafasi 1)
Biology/Chemistry (nafasi 1)
Maombi yote yatumwe kupitia email ya shule ambayo ni:-
info@helasitasecondary.ac.tz
Pia unaweza kuleta kwa njia ya mkono shuleni Helasita.
Maombi yatumwe mapema iwezekanavyo.
Karibuni, pia tunaweza kuwasiliana kwa njia ya PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Physics/Mathematics (nafasi 1)
Biology/Chemistry (nafasi 1)
Maombi yote yatumwe kupitia email ya shule ambayo ni:-
info@helasitasecondary.ac.tz
Pia unaweza kuleta kwa njia ya mkono shuleni Helasita.
Maombi yatumwe mapema iwezekanavyo.
Karibuni, pia tunaweza kuwasiliana kwa njia ya PM.
Sent using Jamii Forums mobile app