Nafasi za kazi za udereva

Nafasi za kazi za udereva

Joined
Dec 12, 2013
Posts
10
Reaction score
0
Kampuni ya Hardco traders & Intergic Ltd, yenye makao makuu mjini Tanga na sasa imefungua matawi mikoa ya Iringa, Ruvuma na Morogoro sasa inatangaza nafasi za kazi ya udereva kwa magari makubwa na madogo.

Mwombaji awe tayari kuingia mkataba wa kazi na kampuni. Pia awe tayari kuishi mahali popote ndani ya mikoa tajwa hapo juu.

Awe na umri wa miaka 18-35.

Maombi yatumwa kwa -
Email hii- hardcotradersintergic@gmail.com

MKURUGENZI MTENDAJI,
HARDCO TRADERS & INTERGIC LTD,
P.O.BOX 6410
TANGA.

Mwisho wa kutuma maombi ni tar 17/09/2014.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu no.
+255222348717
0764166801.

NB. Usisahau kuweka namba yako ya simu.
 
Poa mkuu ngoja tuombe kazi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kampuni ya Hardco traders & Intergic ltd, yenye makao makuu mjini Tanga na sasa imefungua matawi mikoa ya Iringa, Ruvuma na Morogoro sasa inatangaza nafasi za kazi ya udereva kwa magari makubwa na madogo. Mwombaji awe tayari kuingia mkataba wa kazi na kampuni. Pia awe tayari kuishi mahali popote ndani ya mikoa tajwa hapo juu. Awe na umri wa miaka 18-35. Maombi yatumwa kwa - Email hii- hardcotradersintergic@gmail.com au kwa barua- MKURUGENZI MTENDAJI, HARDCO TRADERS & INTERGIC LTD, P.O.BOX 6410 TANGA. Mwisho wa kutuma maombi ni tar 17/09/2014. Kwa mawasiliano zaidi piga simu no. +255222348717 0764166801. NB. Usisahau kuweka namba yako ya simu.
Kweli tuna shida ya kazi na tusichoke kuomba kazi hizi lakini
ushauri wangu ni kutotoa hata sent 1 kwenye kazi hizi za kutangaziwa mtandaoni
vinginevyo anza kazi kwanza ndio umpe kama ukiona kazi yenyewe itakulipa ni hayo tuu.
asante mleta uzi huu ubarikiwe mkuu japo naona kampuni kweli mpya hata website hawana!!!!!
 
Ila nimependa kwamba wana Landline.
Ila issue ya kuweka Picha kwenye Barua ya maombi mbona ya kizamani sana.
Anyway sio issue ya ku Judge hiyo.
Hembu tupe everage ya Mshahara wenu,maana najua upo fix na issue ya posho najua inategema na majukum ya siku husika.
 
Walio advance utaperi hua wanacheza na akiri za watu kama hivi ni simple kutumia hata cm ya ofisin kwake au
 
Hiyo namba ya simu kila ukipigiwa haupokei

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hiyo namba ya simu kila ukipigiwa haupokei

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


Umeshatuma PESA? Kama bado mshukuru Mungu na achana nao ni MATAPELI
 
Ofisi zenu ziko wapi aisee?,physical address,kwa mfano mtaa,jengo chumba namba ya ofc etc
 
Kweli tuna shida ya kazi na tusichoke kuomba kazi hizi lakini
ushauri wangu ni kutotoa hata sent 1 kwenye kazi hizi za kutangaziwa mtandaoni
vinginevyo anza kazi kwanza ndio umpe kama ukiona kazi yenyewe itakulipa ni hayo tuu.
asante mleta uzi huu ubarikiwe mkuu japo naona kampuni kweli mpya hata website hawana!!!!!

Yale yaleeee.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom