uniquelady
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 420
- 177
Hahaahahha poise banaHaya kazi ndiyo hizo .
Utasikia mbona ofisi zao huku mkoani hatuzijui zilipo. Ooh oooh, watu hawana vyeti ,mara sijui mishahara ni kiasi gani na porojo rukuki sana.
Lakini , mambo ndiyo kama hayo.
Iseeee nimeiona MkuuMkuu, kweli,
Ona tayari comment namba #4.
Yaani, vijana hatutaki kujishughulisha kabisa.
Hahahahaha hata makinda ya ndege yako na afadhaliNdiyo hivyo sasa.
Yaani, tunapenda spoon feeding kama makinda ya ndege
Hahaha majanga Sana'a hawapendi kusumbua akili zao katika kufikiri kabla ya kuulizaYaani, hutu tuvijana twa zoom na dot.com ni majanga.
Pale Ilala,Ilipo Ofisi ya Makonda
Hapo ni makao makuu(HQ),mahala pazri kwake ni pale pa NBS mkoa wa Dar,ambapo ni pale Ilala Boma.karibu na wizara ya ardhi.
Ila sijui sina uhakika ngoja wenyeji wa Daa waje wakuelekeze mie niko upareni huku
posta karibu na kivukoni...
Acha dharau huwez jua kila kitu we mwenyewe kuna vitu hujui na unauliza sana tuNdiyo hivyo sasa.
Yaani, tunapenda spoon feeding kama makinda ya ndege
Acha dharau huwez jua kila kitu we mwenyewe kuna vitu hujui na unauliza sana tu
Hili tangazo limetolewa na MTU wa ndani kabisa acha negativity mkuu,
Mbona kwenye tovuti yao hawajaweka hilo tangazo mkuu, isije ikawa chaka!?
Sent using Jamii Forums mobile app