Inawezekana ukawa ofisini ukijiandikia nite za kutosha na ku access net utakavyo na sasa umelewa unadhani wote wako kama wewe.
Hii ni TZ bana si kila kitu unaweza pata kwa net ebo, kama una cha kujibu kaaa kimya wenzakao wanaangaikia maisha watoke pia
kweli mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaa! Ivi ndo majibu ya kumpa mwenzio?au unajifanya unajua sana kutumia internet wakati mwenzio kaomba gazeti?je net ingekuwa kila kitu magazeti yangekuwa ya nini? Mkuu ni gazeti gani lililotangaza jobs za wiki hii online?au unatuona wajinga ehe? Kuna haja ya kuwa na tolerance mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.