Nafasi za kazi Arusha.

Hauja tusaidi bali unafanya promotion kwaajili ya blog yenu.

Nilitegemea hizo nafasi za kazi utaziweka humu.
 
Kwa hiyo hizi ndio nafasi zenyew au? hakina kazi hapa no promo tu ya hii blog yenu.THERE IS AN ILLITERATE MISMATCH BETEEWN THE TITLE AND IT CONTENT
 
Hauja tusaidi bali unafanya promotion kwaajili ya blog yenu.

Nilitegemea hizo nafasi za kazi utaziweka humu.



Bado ni mgeni humu, akikua ataacha

Join Date : 22nd February 2012
Posts : 630
Rep Power : 441
Likes Received: 102

Likes Given: 0
 
Weka details zilizokamilka. Maana unawasumbua watu na title kubwa then hakuna kitu.
 
Unaweza ukawa ume join long time lakini uelewe wa kutumia jf vizuri ukawa mdogo kama ulivyo tudhihirishia ndugu. Jaribu kutumia vizuri nafasi uliyo pata.
 
Kusema kweli kaka ucjifanye mjuaj ,ila .haujatenda haki bali umefanya promo na hyo blog yako,asante kwa kujaribu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom