Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Last time zoezi liliisha mida ya saa tano.Mbona muda mfupi hivo mkuu..
Last time zoezi liliisha mida ya saa tano.Mbona muda mfupi hivo mkuu..
Vigezo ni vp mkuu,nimruhusu dogo lasi naye akajaribuLast time zoezi liliisha mida ya saa tano.
Vyeti na physiq ndo vigezo vikuu.Vigezo ni vp mkuu,nimruhusu dogo lasi naye akajaribu
Msongamano ulikuwa mkubwa?Vyeti na physiq ndo vigezo vikuu.
Ulikuwa ni wa kawaida sana tofauti na kada zingine zinapotangazwaMsongamano ulikuwa mkubwa?
We we Ni Mjinga Usiyeelewa lolote juu ya jeshi Bora Ukae KimyaJeshi lingekuwa productive lisingekuwa na Budget serikalini. Tena budget ya jeshi inapita kimya kimya bila mbwembwe za kambi ya upinzani wala chama Tawala.
By the way unataka niwe kwenysystem gani ndo tuende sawa??.
Wewe unadhani Wanajeshi au jeshi linapenda kwenda huko Darfur, Lebanon, DRC kwenye vita ambazo hata historia zake hawazijui wala hawana maslahi na iyo vita???
Hiyo ni mikataba ya UN. Kama umekubali kuwa member country wa UN, once ukiombwa Wanajeshi wa kulinda amani lazima uwatoe.
Jeshi linatumia mamilion ya pesa Kutrain wanajeshi kwa ajili ya kulinda nchi yetu na sio kwenda kupeleka wanajeshi wetu wakafe ndo tupate pesa. ( Iyo Idea yako ni ya kipumbavu kuwai tokea)
Tanzania hatuna vita na nchi yoyote. Mipaka yetu ipo salama. Hatuna haja ya ku recruit Wanajeshi ambao hawana kazi. Narudia tena.
Hao JKT wakimaliza mikataba yao Waendelee na maisha mtaani. Kwani vijana wengine wanaishije?? Warudi mtaani waganye ujasiriamali.
Sawa sawa AfandeWe we Ni Mjinga Usiyeelewa lolote juu ya jeshi Bora Ukae Kimya
N.B #Shwain
once you are a soldier you are always a soldier... hakuna raia huku.. ni mzabuni tu ndo nanga.Sio kujiunga na jeshi mkuu, ni kuajliiwa na jeshi taaluma ile ile ya afya na sio kua askar wa jwtz elewa
Bro naomba ni ku DM unisaidie maoniSawa sawa AfandeView attachment 966950
Umesha karibia hapo kambi ya Jenerali Abdalah Twalipo?Mambo ni kesho
Kwa nn mkuuMm siendi mkuu
Mkuu Bongo ajira ni kubahatisha aijalishi una taaluma gani.Naulaani huu utaratibu wa kusafiria interview bila matarajio ya kutusua
Kwani Pohamba ni kaka yako?Sawa kaka
Ajira yao ni kuwa askari na watakwenda depo.Kwa hyo na wao huwa termed kama askari?
Ni muongo kweli huyo jamaa askari 7000 wanastaafu wakati intake moja ya ajira wanakwenda depo askari hawazidi 2500 sasa hawa 7000 mbona jeshi lingekuwa limeishiwa askari mpaka sasaMkuu ebu rudia tena hizo namba zako.. yaan askari 7000 wanastaafu kwa kila mwaka?? Hapana nasisitiza hapana..