BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
Mkuu unataka kusemaje? Mbona mnakuwa negative hivo?Walee wa mwanzo haata course yoyote hawajaenda!Walipiga interview tu!Wameambiwa wasubiri,,kuna dem mmoja aliqualify...nawasiliana nae...daily yupo kambini tu!