Nafasi za kazi (afya) JWTZ

Kuna hili neno UHITAJI WA JESHI, aisee ukilielewa hili hautapata shida kuhusu ajira za jeshi na hapo utafaham kuwa watu watachukuliwa kulingana na uhitaji uliopo basi.
Kwani watu wengine walielewa tofauti na hicho ulicho andika?
 
Zipo Taasisi kibao kama hujui ambazo zinatengeneza pesa ya kufa mtu na chenji wanapeleka serikalini. Ref. Tanapa, Ngorongoro na nyingine. Ngorongoro wanalipa wafanyakazi wake na kufanya manunuzi yao wao na pesa ikibaki baada ya mwaka wa fedha kuisha wanapeleka chenji serikalini we unataka kusema nini. Narudia tena Jeshi sio productive.

Huwezi ukasema jeshi/ Taasisi ni productive wakati izalisha 20% inapewa 80% ili ifanikishe malengo yake. Iyo productivity unayo izungumzia ni ipi?????

Productivity ya jeshi ni Mipaka ya nchi yetu kuwa salama tuu. As long as tuna usalama hapo ndo jeshi lina perform 100%

Narudia tena, hakuna haja ya kuajiri wanajeshi kama hakuna uhitaji. Unataka kusema ww ndo unajua uhitaji sana wa Jeshi kuliko wao wenyewe? Wewe unadhani kuwa na wanajeshi wengi ndo kushida vita??

Jifunze uchumi broo. Hii dunia nyingine sio ile analogy. Kila kitu kinafanyiwa optimization. Sababu kuna scarcity ya resources. Kama wananchi mmoja mmoja wanapunguza Matumizi kwann serikali i over spend??

Serikali pesa zake zote zinaishia kwenye Standard gauge na Stieglas gouge. Vitu ambavyo havina priority havina nafasi.
 
Walee wa mwanzo haata course yoyote hawajaenda!Walipiga interview tu!Wameambiwa wasubiri,,kuna dem mmoja aliqualify...nawasiliana nae...daily yupo kambini tu!
Mbna unakazaa akili kakaa sasa kama kasha qualify yupo kambin siataenda tu kweny mafunzo au unazan watamfukuzaa
 
Kma halitoajiri watu wamaana haliwezi kuwa productive kamwe... ajira kada zengine ni muhimu kwakuwa hizo kada zengine pia zinamapungufu ndio maana halipo productive... jeshi linapaswa liwe na project kubwa ukiachana na kulinda amani 2... hizo project zinaendeshwa na wataalamu sio wafuta vumbi waliokuwepo kwass,waangalie na secta sezingine waajiri wa2 then wawa train kuwa productive kutokana na fani zao.. sio kutumia nguvu 2... utasikia wanajisifia kwakulima... ila mambo yakutumia akili nyingi ni 0 kabisa...
 
Kma halitoajiri watu wamaana haliwezi kuwa productive kamwe... ajira kada zengine ni muhimu kwakuwa hizo kada zengine pia zinamapungufu ndio maana halipo productive... jeshi linapaswa liwe na project kubwa ukiachana na kulinda amani 2... hizo project zinaendeshwa na wataalamu sio wafuta vumbi waliokuwepo kwass,waangalie na secta sezingine waajiri wa2 then wawa train kuwa productive kutokana na fani zao.. sio kutumia nguvu 2... utasikia wanajisifia kwakulima... ila mambo yakutumia akili nyingi ni 0 kabisa...
Umeongea pumba
 
Kuna kuna wizara au taasisi ambayo serikalini ambayo ni productive ila haina budget kwnye serikali??? unavyosema jeshi sio productive ndomana ina budget ngoja nikwambie kitu wewe ujui kitu..

Kumbuka serikali yetu kama serikali sio productive kivipi sisi sio productive economy tupo kwny taxisation economy sasa unavyosema hivyo unakosea sana mbn wizara ya viwanda na biashara viba budget kama ni productive ww jamaa ujui nn unachongea na ndomana nikasema bora ukae kimya tuu.

Ujui madhara ya hawa watoto wakirudi kitaani ujui ww eti ndomana budget ya jesh aisomi aisomwi ndio kwa sababu wanajua umuhimu wake pia unavyosema nchi aina vita akuna haja ya kuajiri unakosea sana kumbuka vita inaweza kutokea mda wowote ule ni muhimu kuwa na askari wa kutosha Na ndomaa kukawa na JKT uoni umuhimu wa akari saizi sababu akuna vita ngoja vita vitokee..ndo maana

Kusu UN askari wetu unazani wanaenda kule bure ww jamaa ujui kitu ungekuwa unajua usingesema hivyo you know nothing...
Wewe mkuu unabishana na mbumbumbu unamaliza energy yako tu.
 
Ivi unajua Jwtz kwa mwaka wanastaafu askari wangapi???sio maafisa nasemea Askari,kwa taarifa yako kwa mwaka wanastaafu askari zaidi ya 7000 upo....Sasa uoni kama nchi inakuwa na uhaba wa askari ww unazani walioanzisha jkt ni wajinga kwamba maskaa wachukuliwe kupitia jkt ni wajinga???ndio mkataba ausemi wajiriwe ila sio kwamba watu wasiajiriwe ukisema ivyo unakosea wale watoto lazima wajiriwe ili nchi yetu tuwe na askari wa kutosha sasa kama kwa mwaka wanastaafu askari 7000 kuna shida gani ukitenga bilion 2 au 3 kuajiri askari jeshi japo hata 5000 kwa mwaka kuna shida gani tatizo sio ajira tatizo nchi inatakiwa iwe na askari wa kutosha ili ulinzi uimalike vzr mipakani....kustaafu kwa askaari 7000 kwa mwaka sio masihara mana kumbuka kila mwaka lazima intake moja au mbili zistaafu za jeshi upo hapo.....najua kuna askari wengine uongezewa mikataba ila aizidi miaka 2......leo askari alie anza jeshi miaka ya 1985 hayupo jeshini kesha staafu mda 85 mbali alie anza miaka ya 88 tu leo jeshini ni mstaafu kwaiyo unapo ongea uwe unafanya na tafiti sio kusema tuu eti warudi nyumbani kurudisha watoto wa jkt 8000 ni wengi sana hawa kwann tusiwajiri wawe maskari wailinde nchi yetu....
Mkuu ebu rudia tena hizo namba zako.. yaan askari 7000 wanastaafu kwa kila mwaka?? Hapana nasisitiza hapana..
 
Back
Top Bottom