Nafasi za kazi (afya) JWTZ

Nafasi za kazi (afya) JWTZ

Joined
Nov 26, 2018
Posts
72
Reaction score
47
Habari wana JF ,jana nimesikia tetesi kwamba jashi la wananchi jwtz limetangaza nafasi za kazi ktk kada ya afya kwa lengo la kuboresha huduma za afya kwenye vituo vya afya vya jeshi..tafadhali mwenye uhakika/more details atujuze
 
Nenda Kambi ya Twalipo Karibu Na Kituo Cha Uhasibu Kama unaelekea Mbagala

Umri usizidi Miaka 28

Tarehe 17 Dec, 2018

Uzalendo kwanza Mengine baadae

Vijana nendeni mkapiganie Nchi yenu Kwenye Kada ya Afya

Hongera Ndugu Rais John Joseph Magufuli Kwa Uongozi thabeeet
 
Sawa kaka
Nenda Kambi ya Twalipo Karibu Na Kituo Cha Uhasibu Kama unaelekea Mbagala

Umri usizidi Miaka 28

Tarehe 17 Dec, 2018

Uzalendo kwanza Mengine baadae

Vijana nendeni mkapiganie Nchi yenu Kwenye Kada ya Afya

Hongera Ndugu Rais John Joseph Magufuli Kwa Uongozi thabeeet
 
Nenda Kambi ya Twalipo Karibu Na Kituo Cha Uhasibu Kama unaelekea Mbagala

Umri usizidi Miaka 28

Tarehe 17 Dec, 2018

Uzalendo kwanza Mengine baadae

Vijana nendeni mkapiganie Nchi yenu Kwenye Kada ya Afya

Hongera Ndugu Rais John Joseph Magufuli Kwa Uongozi thabeeet
kwani ile ya mwanzoni watu hawakutosha mkuu??
haijapita hata miezi 6
 
Wana fani yoyote wale watoto wa jkt?
Wanazo mzee kuna waasibu kule kuna wagavi kule kuna wahandisi kule kuna watu wa umeme kule madereva ila JW wao wamekalia Afya tuu sasa iyo afya bila watu wengine itaenda kweli kila kitu kina umuhimu wake wangaliwe wale watoto wametoboa mikataba inaisha Ajira awana wao wanaenda chukua watu wengine waifute bac iyo jkt mana haina mana....
 
Wanazo mzee kuna waasibu kule kuna wagavi kule kuna wahandisi kule kuna watu wa umeme kule madereva ila JW wao wamekalia Afya tuu sasa iyo afya bila watu wengine itaenda kweli kila kitu kina umuhimu wake wangaliwe wale watoto wametoboa mikataba inaisha Ajira awana wao wanaenda chukua watu wengine waifute bac iyo jkt mana haina mana....
Ni kweli man,hivi kule usaili wao unakuaje baada ya kuripoti hyo tar 17. Maana nina dogo,ana vigezo.nimemshauri aende na yeye hyo tar 17 akajaribu bahati yake.
 
Ni kweli man,hivi kule usaili wao unakuaje baada ya kuripoti hyo tar 17. Maana nina dogo,ana vigezo.nimemshauri aende na yeye hyo tar 17 akajaribu bahati yake.
Umri,majina ya vyeti ya fanane yote,Afya iwe nzuri damu iwe safi asiwe na presha ,kisukari awe anaona mbali vzr ivyo tuu bac awangalii cjui Gpa wala cha nn wao hivyo nilivyokwambia.Huu upande unapesa aisee
 
Umri,majina ya vyeti ya fanane yote,Afya iwe nzuri damu iwe safi asiwe na presha ,kisukari awe anaona mbali vzr ivyo tuu bac awangalii cjui Gpa wala cha nn wao hivyo nilivyokwambia.Huu upande unapesa aisee
Ooh nilijua wanagonga interview..kumbe ni hayo tu?
 
interviw unaulizwa maswali tuu ww nani kwann unataka jiunga na jeshi maswali ya kawaida tuu ni marahisi sana tena kwa kingereza ni marahisi..m
Ooh hapo sawa man..lakini wenye vigezo wakiwa wengi kuliko mahitaj yao huwa inakuaje? Maana hawajataja idadi ya wanao hitajika
 
Wanazo mzee kuna waasibu kule kuna wagavi kule kuna wahandisi kule kuna watu wa umeme kule madereva ila JW wao wamekalia Afya tuu sasa iyo afya bila watu wengine itaenda kweli kila kitu kina umuhimu wake wangaliwe wale watoto wametoboa mikataba inaisha Ajira awana wao wanaenda chukua watu wengine waifute bac iyo jkt mana haina mana....
Kama wana Fani walienda JKT kufanya nini?kama nia ni kujitolea, wajitolee wakimaliza warudi mtaani.
 
Ooh hapo sawa man..lakini wenye vigezo wakiwa wengi kuliko mahitaj yao huwa inakuaje? Maana hawajataja idadi ya wanao hitajika
Uwa wanaangalia ufaulu ikitokea hivyo aliefaulu sana anachukuliwa.
 
Back
Top Bottom