Nafasi za intern kwa waliosoma accounts

Nafasi za intern kwa waliosoma accounts

MZIBHAZI

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
520
Reaction score
139
Shirika lisilo la Kiserikali la Zinduka DIF lenye makao yake makuu Bunda linahitaji wahitimu au wenye Diploma wa kufanya internship waliosoma Accounts.

Waombaji watagharamiwa chakula na malazi muda wote wa internship na watapewa posho ya kuendesha maisha!

Anayehitaji atume cover letter na CV kwa mmadoro02@gmail.com na zinduka02@yahoo.com

Mwisho wa kupokea maombi ni tar 20 Mei 2015

Kwa maelezo zaidi tembelea: www.zindukadif.org
 
oya inamaana watatoa kama ngapi pesa na intern itachukua muda gani makisio?
 
oya inamaana watatoa kama ngapi pesa na intern itachukua muda gani makisio?

Intern itachukua miezi mitatu kama utafanya poa unaweza kuajiriwa kuhusu posho utanegociate na Excutive Director ukifanikiwa wewe tuma CV
 
Intern itachukua miezi mitatu kama utafanya poa unaweza kuajiriwa kuhusu posho utanegociate na Excutive Director ukifanikiwa wewe tuma CV

Mkuu sorry umesema tutume kwenye email zote mbili maana umeandika "and"?.
 
Daah...I was looking for this chance. Ngoja nijaribu bahati
 
Back
Top Bottom