Nafasi ya Yanga kwenda kushiriki kimataifa imeyeyuka

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
Leo CAF imetoa orodha ya nchi 12 ambazo zitapeleka timu 4 kwenye michuano ya klabu Africa.

Yanga ilikuwa ikitegemea kwamba Tanzania itapeleka timu 4 baada ya libya kufuta ligi yao kipindi cha Corona ,ila leo kwenye orodha Libya ipo pia nafasi ya 12.

Kwahiyo Tanzania itawakilishwa na vilabu viwili ambavyo ni Simba na Namungo.
 
Ilikuwa Tz ipate coz ni wa 13 na Libya alijitoa sababu ya korona. Sasa Libya karudi. Maskini weee sijui vyura watalipa nn wachezaji wao Mana walitegemea Ela ushiriki wa kimataifa.
IMG-20200901-WA0020.jpg
 
Usichoelewa ni kuwa kuna nchi kama Angola, hazijaruhusu michezo mpaka leo. Yaani michezo hairuhusiwi kufanyika.
Kuna nchi pia haziruhusu kuingia mpaka uwe qurantined kwa wiki mbili.
Kwa ufupi, haya mashindano yataishia kufutwa, kuna uwezekano mkubwa.
 
Usichoelewa ni kuwa kuna nchi kama Angola, hazijaruhusu michezo mpaka leo. Yaani michezo hairuhusiwi kufanyika.
Kuna nchi pia haziruhusu kuingia mpaka uwe qurantined kwa wiki mbili.
Kwa ufupi, haya mashindano yataishia kufutwa, kuna uwezekano mkubwa.
Endelea kucheza ramli hata ishu ya libya mlikuwa mnacheza ramli
 
Libya walicancel kwanza ligi yao ,wasingeshiriki Tz ndo ingepeleka vilabu vinne
Nchi nyingi zime cancel ligi zao, hiyo haimaanishi hawana aakilishi. Hata Kenya wamecancel ligi yao.
Tatizo, habari za magroup ya WhatsApp zinazotolewa na makungwi, basi na nyinyi mnaamini. Kinachoshukiwa, ni taratibu za kusafiri na kucheza.
Kuna nchi zitashindwa kushiriki kama hali haitatengemaa.

Kwa mfano, walisema fainali zichezwe Cameroon, wenyeji wakatoa nje. Ikabidi wasogeze two months or so wakaamua zichezwe umangani. Hizo ni ratiba, subject to prevailing conditions.
 
Usichoelewa ni kuwa kuna nchi kama Angola, hazijaruhusu michezo mpaka leo. Yaani michezo hairuhusiwi kufanyika.
Kuna nchi pia haziruhusu kuingia mpaka uwe qurantined kwa wiki mbili.
Kwa ufupi, haya mashindano yataishia kufutwa, kuna uwezekano mkubwa.
Manyani Fc ndio mawazo yao hayo
 
Nchi nyingi zime cancel ligi zao, hiyo haimaanishi hawana aakilishi. Hata Kenya wamecancel ligi yao.
Tatizo, habari za magroup ya WhatsApp zinazotolewa na makungwi, basi na nyinyi mnaamini. Kinachoshukiwa, ni taratibu za kusafiri na kucheza.
Kuna nchi zitashindwa kushiriki kama hali haitatengemaa.

Kwa mfano, walisema fainali zichezwe Cameroon, wenyeji wakatoa nje. Ikabidi wasogeze two months or so wakaamua zichezwe umangani. Hizo ni ratiba, subject to prevailing conditions.
Wewe ni mbishi tu in nature for nothing ,CAF ndo waliosema na tarehe zishatolewa ,UEFA champions league ziliendelea na sasa tar 3 wanaanza UEFA nations league,siyo unabisha tu
 
Leo CAF imetoa orodha ya nchi 12 ambazo zitapeleka timu 4 kwenye michuano ya klabu Africa.

Yanga ilikuwa ikitegemea kwamba Tanzania itapeleka timu 4 baada ya libya kufuta ligi yao kipindi cha Corona ,ila leo kwenye orodha Libya ipo pia nafasi ya 12.

Kwahiyo Tanzania itawakilishwa na vilabu viwili ambavyo ni Simba na Namungo.
Mkuu nimependa hilo neno 'imeyeyuka' .
 
Back
Top Bottom