Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Sasa usingesema tu muuza duka anaweza kuwa rais kwa kuona ni kituko wakati anaweza akawa na elimu yake yenye kustahili kuwa rais.Yule ni mwanasheria na ukiangalia comedy zake utajua uRais haukuja bahati mbaya