Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Hiyo ya kugeuza watoto vijakazi haijakaa sawa. Sema ndio hivyo kukaa kwa mtu kazi, inabidi ufanye tu.
Inaweza kuwa ni kazi ndogo......fine, lakini it is not a guarantee kuwa yeye asifanye kwa sababu kuna watoto! Ebu fikiria, umeamka saa 5 umekuta mama mkwe kapika chai unakunywa! Badala ujifulie basi na wewe vijiguo vyako, ila unaloweka then huyoo unakula misele unasubiria flani aje akufulie.......kumbuka hapo hujihusishi na kazi nyingine ile!! Ukikuta nguo hazijafuliwa unaanza kulalamika na kusingizia kuwa ni flani alimkataza kumbe walaa ukute hata dogo hakuwepo au alichelewa kurudi!! Basi we unachukulia hasira tu, ukimsingizia kakondoo wala hana shida kabisa nakuelewesha tu lawama zikizidi sana nakuacha tu au namwambia mumeo atajua mwenyewe lakufanya!!