Nafasi: Afisa Maendeleo ya Jamii Msaidizi ( Community Development Assistant ) CDA.
Sifa za mwombaji i. Msichana au Mvulana mwenye umri usozidi miaka 30. ii. Mtanzania.iii. Mwenye shahada au stashahada katika fani zifuatazo.· Community Development· Sociology and Social Development.· Social Worksiv. Ujuzi wa kutumia komputa ni sifa muhimu zaidi. v. Awe ana uwezo wa kufanya kazi vijijini.vi. Awe ana uwezo wa kuendesha pikipiki.vii. Awe ana uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa.viii. Awe ameshawahi kufanya kazi na Watoto.Mshahara:Mshahara ni mzuri sana unao zingatia viwango vya mshahara vya serikali na utumishi wa uma kwa ujumla.Atakaye ajiliwa atafanya kazi kwa muda wa mwaka mmoja . Mkataba huo unaweza kurudiwa kama shirika litaridhishwa na utendaji wake wa kazi. Mwajiriwa atafanya kazi chini ya uwongozi wa KINGONET na ataripoti kwa katibu mtendaji. Maombi yote yatumwe kwa;
Katibu Mtendaji
KINGONET Kilwa
S.L.P 175
Kilwa Masoko
Au E-mail; kingonet_kilwa@yahoo.comMwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 25 / 12 / 2011Saa kumi jioni .Usaili utafanyika tarehe 28 / 12 / 2011.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.