fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Je,
1.una kipaji cha kuhuzunika na kuweza kutoa hadithi feki kumuhusu marehemu jinsi alivyokuwa mtu mwema?
2.Una mavazi rasmi ya kuombolezea na handkerchif za kutosha?
3.Unaweza kulia unapoamrishwa ulie?
4.Unaweza kutoa majibu ya haraka kumhusu marehemu hata kama hamjuani na useme unamjua kivipi?
Haya usihangaike kutafuta dili.ni PM details zako upate ajira.
1.una kipaji cha kuhuzunika na kuweza kutoa hadithi feki kumuhusu marehemu jinsi alivyokuwa mtu mwema?
2.Una mavazi rasmi ya kuombolezea na handkerchif za kutosha?
3.Unaweza kulia unapoamrishwa ulie?
4.Unaweza kutoa majibu ya haraka kumhusu marehemu hata kama hamjuani na useme unamjua kivipi?
Haya usihangaike kutafuta dili.ni PM details zako upate ajira.