Nafasi ya kazi Mwalimu wa Physics

Nafasi ya kazi Mwalimu wa Physics

Anahitajika Mwalimu wa Physics

Tunatafuta mwalimu wa Physics
Vigezo: Awe amemaliza chuo kikuu chochote nchini Tanzania. Kwa mawasiliano zaidi.+255763855365

Asanteni
Kwa hiyo sisi tulio ishia form 2 ndiyo basi tena japo tuna uwezo kuliko hao maprofesa 🙂
 
Wataita tu mpaka mainjinia maana walimu Wa phy now ni adimu saana Kuna shule naifahamu mshahara ni million 1 ila Toka mwezi Wa kwanza mpaka Leo Bado hawajapata mwalimu Wa phy
 
Wataita tu mpaka mainjinia maana walimu Wa phy now ni adimu saana Kuna shule naifahamu mshahara ni million 1 ila Toka mwezi Wa kwanza mpaka Leo Bado hawajapata mwalimu Wa phy
Shule gan hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom