ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
Habari zenu wana JF
Natafuta mtu wa kuuza duka.Duka la nguo,jumla na rejareja mjin Arusha
Sifa za mwombaji.
awe msichana/mwanamke asizid miaka 35.
sibagui dini wala kabila.ila kama atatokea mkoani awe na ndugu Arusha.
elimu kuanzia kidato cha nne.ila kwa darasa la saba awe na uzoefu wa kutosha na kaz kama hizi.
mshahara, comission na mambo mengine tutaelezana.
niandikie au tuma namba nitakupigia.amelinechao@gmail.com
Asanteni.
Natafuta mtu wa kuuza duka.Duka la nguo,jumla na rejareja mjin Arusha
Sifa za mwombaji.
awe msichana/mwanamke asizid miaka 35.
sibagui dini wala kabila.ila kama atatokea mkoani awe na ndugu Arusha.
elimu kuanzia kidato cha nne.ila kwa darasa la saba awe na uzoefu wa kutosha na kaz kama hizi.
mshahara, comission na mambo mengine tutaelezana.
niandikie au tuma namba nitakupigia.amelinechao@gmail.com
Asanteni.