Nafasi ya familia katika makuzi ya mtoto

Uliyoyasema ni kweli kabisa. Zama hizi wazazi wengi wako busy sana, na hawapangilii vizuri muda wao na watoto, basi wanaishia kuwanunulia ice cream, popcorn na computer games. Matokeo yake watoto wanakuwa Obese na wanavaa miwani mapema. Pia watoto/vijana hawataki kufikiri, hawana creativity maana hakuna kufikiri sana katika games na cartoons. Maisha kwao ni simple kama ilivyo rahisi kwa Superman kupaa hewani wakati hana mabawa. Wanapofika shule wanaibia mitihani. Wanapofunga ndoa hawajui kukaa na wake/waume zao - talaka. They are difficult to work and live with. Hawana shukurani, ni wategemezi. Mtoto anafika hadi darasa la tatu hajui hata kufua kufuli, anampa housegirl. Sijui tunatengeneza kizazi gani. Lawama zote kwenu wazazi!!!
 
Back
Top Bottom