Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,763
Chura ipo?
we n mkurya au??? yaan kwa unavoandka tu inaonesha una tabia ya ukali na ndo mana wanaume wanakuogopa......afu unataka anayewaza maendeleo je ww unayo hayo maendleo?Habari wapendwa ,ni binti ambae nilikua na mahusiano kwa Sasa Sina mahusiano
Sijawai kuolewa Wala Sina mtoto
Naomba nitoe fursa hii kwa mwanaume ambae hana mwanamke na anae taka kuongeza mke
Sifa za mwanaume huyo awe mwanaume anae waza maendeleo tu na sio kuwaza ngono huku maendeleo 0.0
Kifupi sitaki mwanaume mwenye tabia za kivurana
Nakuhakikishia utafurai utakae nipata
Onyo usije na majaribu maana Mimi pia Nina majaribu
Njooo pm
namshangaa ana mashart kibaooooo kama sie ndo wenye shda..... nahs hajatosheleza sehemu kwanza alete picha yake kabla asije kuwa flat screen afu anatusumbua hapamwenye shida ndio aje pm .sio unatuita pm kama vile ss ndio tuna shida. tufate pm ww ndio mwenye shida.
Karibu pm mwanamwali
Long term plan & short term plan zote zipo [emoji23][emoji23]
hii kanda maaalumKivurana 😀😀😀 hapa mimi mtu wa pwani nishakata marks kadhaa
Unaogopa vitombo,hamna dume lisilowazaWavulana twendeni nje huku ndani kimenuka..