Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,804
- 95,630
Lipoje? [emoji3]Hili jibu.....[emoji124][emoji124][emoji124]
Lipoje? [emoji3]Hili jibu.....[emoji124][emoji124][emoji124]
Linahitimisha mjadalaLipoje? [emoji3]
Habari wapendwa ,ni binti ambae nilikua na mahusiano kwa Sasa Sina mahusiano
Sijawai kuolewa Wala Sina mtoto
Naomba nitoe fursa hii kwa mwanaume ambae hana mwanamke na anae taka kuongeza mke
Sifa za mwanaume huyo awe mwanaume anae waza maendeleo tu na sio kuwaza ngono huku maendeleo 0.0
Kifupi sitaki mwanaume mwenye tabia za kivurana
Nakuhakikishia utafurai utakae nipata
Onyo usije na majaribu maana Mimi pia Nina majaribu
Njooo pm
[emoji38][emoji38]Linahitimisha mjadala
Kuna kuongozi fulani mwanaume inasemekana aliwekewa uce kimazingara kwa muda fulani akawa anagegedwa so kwa kipindi hicho inasemekana utamu aliokuwa anaupata hakuwahi kuupata pindi alipokuwa mwanaume.Siwezi jua maana sijawahi experience utamu mnaousikia nyie
[emoji38][emoji38][emoji38] alimpata wa kumkuna vzr.Kuna kuongozi fulani mwanaume inasemekana aliwekewa uce kimazingara kwa muda fulani akawa anagegedwa so kwa kipindi hicho inasemekana utamu aliokuwa anaupata hakuwahi kuupata pindi alipokuwa mwanaume.
Hii kali kulikoKuna kuongozi fulani mwanaume inasemekana aliwekewa uce kimazingara kwa muda fulani akawa anagegedwa so kwa kipindi hicho inasemekana utamu aliokuwa anaupata hakuwahi kuupata pindi alipokuwa mwanaume.
Unafanya kama unaintegrate both terms🤣🤣Karibu pm mwanamwali
Long term plan & short term plan zote zipo [emoji23][emoji23]
We Jamaa una high intelligence capacityWanaume wa magogoni kazini. Naona kuna mtu mnamtafta hamjampata
Ni maneno machache yenye maana kuliko yale yaliyo kwenye kurasa 509.Unataka kazi unaweka na biti.
Unataka mume unachimba mkwara!
We unafikiri ndoa ingekua nyepesi si ungekua ushaipata siku zote hizo wala huku JF usingefika.
[emoji38][emoji38][emoji38] alimpata wa kumkuna vzr.
Bado
Umri wako........
Je, ulishawahi kutoa mimba.........?