Nafasi wazi ya mwanaume

Nafasi wazi ya mwanaume

Leo sioni kikwazo cha umri sijui hii ni welcome note kwangu nijitose...
 
Hata kuandika hujui mvurana ndo Nani
Unataka mwenye kazi we mwenyewe unayo kazi au golikipa

Kwanzaa Unayo chura usije ukawachosha mabaharia wanakuzamia humu pm

Kila la heri ktk utaftaji
 
mwenye shida ndio aje pm .sio unatuita pm kama vile ss ndio tuna shida. tufate pm ww ndio mwenye shida.
 
Habari wapendwa ,ni binti ambae nilikua na mahusiano kwa Sasa Sina mahusiano
Sijawai kuolewa Wala Sina mtoto
Naomba nitoe fursa hii kwa mwanaume ambae hana mwanamke na anae taka kuongeza mke
Sifa za mwanaume huyo awe mwanaume anae waza maendeleo tu na sio kuwaza ngono huku maendeleo 0.0
Kifupi sitaki mwanaume mwenye tabia za kivurana
Nakuhakikishia utafurai utakae nipata
Onyo usije na majaribu maana Mimi pia Nina majaribu
Njooo pm
Ugonjwa wangu wa kupenda kupauwa umenikosesha mke hivi hivi
 
Back
Top Bottom