Nafasi TPDF

Nafasi TPDF

Septemba11

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
620
Reaction score
535
Habari!


Nina rafiki yangu ni askari yupo katika moja ya kambi za mafunzo jeshini, personally ni graduate 2012 japo nimepata pa kujishikiza ila nilikuwa na interest ya kujiunga na TPDF na nlimweleza uyo jamaa yangu ambae jana alinifahamisha kama kuna nafasi zitatoka october kwa graduate na watachukua hadi watu kutoka mitaani km ukiwa na refa mzuri.

So nadhani ni fursa kwetu tena vijana haswa graduates kuichangamkia na alivonambia watapiga pre cadet zanzibar kisha taratibu zingine zitaendelea!
 
Habari!


Nina rafiki yangu ni askari yupo katika moja ya kambi za mafunzo jeshini, personally ni graduate 2012 japo nimepata pa kujishikiza ila nilikuwa na interest ya kujiunga na TPDF na nlimweleza uyo jamaa yangu ambae jana alinifahamisha kama kuna nafasi zitatoka october kwa graduate na watachukua hadi watu kutoka mitaani km ukiwa na refa mzuri.

So nadhani ni fursa kwetu tena vijana haswa graduates kuichangamkia na alivonambia watapiga pre cadet zanzibar kisha taratibu zingine zitaendelea!

Achana na matapeli na watu wanaojifanya kujua sana hata kama ni wanajeshi wenyewe, hakunaga ajira ya kitoto hivyo TPDF. Kuna kamati ya ulinzi hukaa na ikimaliza tu wanakwenda public. Cheki na msemaji wao pekee atakufafanunulia.
 
Wachukue graduates wa mtaani na wale graduates walojazana jkt wawapeleke wapi usiwe mjinga fanya mambo yako wewe jeshi ni utumwa kama hujui
 
Habari!


Nina rafiki yangu ni askari yupo katika moja ya kambi za mafunzo jeshini, personally ni graduate 2012 japo nimepata pa kujishikiza ila nilikuwa na interest ya kujiunga na TPDF na nlimweleza uyo jamaa yangu ambae jana alinifahamisha kama kuna nafasi zitatoka october kwa graduate na watachukua hadi watu kutoka mitaani km ukiwa na refa mzuri.

So nadhani ni fursa kwetu tena vijana haswa graduates kuichangamkia na alivonambia watapiga pre cadet zanzibar kisha taratibu zingine zitaendelea!

Asante kwa taarifa
 
ndugu nenda jkt, kasubilie huko, kuna vijana wa chuo wengi wapo jkt wanasubiria hizo ndugu, yani waje wachukue mtaani wakati wakakamavu wameshawapa mafunzo ya awali? endelea na kazi zako tu ndugu.
 
Usidanganye watu. Unaandaa mazingira ya wizi na kutapeli watu. Naona umeishadokeza swala la refa.
 
Nafikir nyie hamjamwelewa alichokisema humu
Heb rudien kusoma vzr hyo mambo hapo
Amesema kbsa ukiwa na refa mzur unakwnda sa nyie mwampnga k2 gan wakat mnajua kbsa tz ukiwa na refa evrythng z posble
 
Nafikir nyie hamjamwelewa alichokisema humu
Heb rudien kusoma vzr hyo mambo hapo
Amesema kbsa ukiwa na refa mzur unakwnda sa nyie mwampnga k2 gan wakat mnajua kbsa tz ukiwa na refa evrythng z posble

Huo ndio ujinga pia, utafute refa TPDF, kwa nia ipi? Kazi yenyewe nikupambana na akina makenga kwny misitu ya DRC, Machar S/Sudan na wengine wengi afu utafute refa. Kwahiyo hata ukiamriwa kwenda mstuni utamwambia huyo refa asikupeleke. Huu ni upuuzi unaoizamisha tz. Refa hadi siku Mungu anakuja utataka refa. Siku ukichapwa shaba Darfur uje utuambie huyo refa alivyokufaa. Refa hadi kaburini atakupelekea kitanda. Vyuuuuuuuuuuxxxxx!
 
Huo ndio ujinga pia, utafute refa TPDF, kwa nia ipi? Kazi yenyewe nikupambana na akina makenga kwny misitu ya DRC, Machar S/Sudan na wengine wengi afu utafute refa. Kwahiyo hata ukiamriwa kwenda mstuni utamwambia huyo refa asikupeleke. Huu ni upuuzi unaoizamisha tz. Refa hadi siku Mungu anakuja utataka refa. Siku ukichapwa shaba Darfur uje utuambie huyo refa alivyokufaa. Refa hadi kaburini atakupelekea kitanda. Vyuuuuuuuuuuxxxxx!

Kapigka mtaan huyo ndo maana anatka kwnda
Binafsi sina interest na mambo ya jesh liwe lolote lile siko huko mkuu wala ctarajii mshaur mwenye uzi
 
Nikiwa na refa mzuri napata bila refa sipati ?
Nahisi refa mwenyewe ndio wewe unaandaa mazingira mazuri yakutaperi watu.
 
Kwanini watoto wa vigogo hawaendi jeshin wanaenda watoto wa familia maskini na familia za kati...? nimeuliza tu
 
Kwanini watoto wa vigogo hawaendi jeshin wanaenda watoto wa familia maskini na familia za kati...? nimeuliza tu

Unaupungufu gani wa akili, vigogo ni nani? Hebu tupe mfano! Nyie ndo mnaamini yasiyokuwepo!
 
Habari!


Nina rafiki yangu ni askari yupo katika moja ya kambi za mafunzo jeshini, personally ni graduate 2012 japo nimepata pa kujishikiza ila nilikuwa na interest ya kujiunga na TPDF na nlimweleza uyo jamaa yangu ambae jana alinifahamisha kama kuna nafasi zitatoka october kwa graduate na watachukua hadi watu kutoka mitaani km ukiwa na refa mzuri.

So nadhani ni fursa kwetu tena vijana haswa graduates kuichangamkia na alivonambia watapiga pre cadet zanzibar kisha taratibu zingine zitaendelea!

we jamaa embu acha kudanganya watu bhac now tpdf hawaajir kutka mtaani aidha utokee jkt au mwanajeshi aliyejiendeleza akagraduate wawaache hao waajir mtu kutoka mtaani acha mambo yako kijana
 
Back
Top Bottom