Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Ilikuwa position gani? Ambayo hamja burgain mshahara?
Nipate kazi lakini kazi imekuja kubwa sana kuliko uwezo wangu
Nipate kazi lakini kazi imekuja kubwa sana kuliko uwezo wangu
Mimi ni keKuna ile siti ya pale mbele jiran na ......sijui nlitaka kuandika nn bila kujua jinsia ya muhusika
Wow! Kumbe ni ww nliekufanyia interview karibu sana ulinielewa vbaya sio kwamba utaongoza staff wote apana we utakua team leader wa group husika kila group mtakua watu 10 mtakua mnazunguka mitaani kuwashawishi watu wajisajili azam pesa na mtalipwa kutokana na watu mliowasajili .......ama namna gani pale!Habari zenu ndugu zangu
Week iliyopita nilianza kuapply kazi sehemu tofauti tofauti Kwa kua hapa kazini nilipo hali si nzuri
Kwa bahati nikafanyiwa interview Kwa njia ya simu na mwajiri aliyepo dar es salaam maeneo ya mikocheni
Baada ya interview akaniambia nimefuzu hivyo niende siku ya jumanne kwaajili ya mahoniano ya ana Kwa ana
Sasa Mimi nimeingiwa na hofu je niende au nibaki Kwa kua sijui huko kama nitapata hiyo nafasi au la nikiangalia gharama ni kubwa sana kutoka Arusha mpaka dar
La pili nawaza utendaji wangu wa kazi kama utaridhisha Kwa kua ameniambia nitakua naongoza office nzima
Nawaza nisije nikaharibu kazi ya watu
La tatu hatukuongea swala la mshahara mpaka nitakapofika Sasa isije mshahara ukawa kiduchu nifanyaje wananzengo
NB kampuni ni ya mzungu
Natanguliza shukrani zangu
Now you are talking.Elimu ni degree
Nilichofuzu ni oral interview
Nileongea nae ni mkurugenzi wa kampuni
Uzoefu wangu ni miaka miwili ndo maana Nina wasiwasi kama nitaweza kuongoza office nzima maana Mimi niliomba nafasi nyingine ya kawaida akaniambia nimtumie CV alipoiona ndo akanipigia akaanza kunifanyia interview akaniambia niende nikaangalie office ilivyo na tufanye physical interview tupangiane off days na pia tuongee mshahara
Ukifika dar nicheki mapema sana nije kukuchukua kama ni mbezi au shekilango 😁niwe nakuelekeza mambo makuu usiyoyafahamuMimi ni ke
Wow! Kumbe ni ww nliekufanyia interview karibu sana ulinielewa vbaya sio kwamba utaongoza staff wote apana we utakua team leader wa group husika kila group mtakua watu 10 mtakua mnazunguka mitaani kuwashawishi watu wajisajili azam pesa na mtalipwa kutokana na watu mliowasajili .......ama namna gani pale!





Kwa hiyo niendeNow you are talking.
Then what are you waiting for?? Uchangiwe nauli ama tukutafutie gari ya gazeti?
Ila shost 😂Kwa hiyo niende
Hapo kazini kwako chukua sick leave. Jifanye ni mgonjwa, unaumwa then uchukue sick leave. Halafu, uende huko Dar ukawasikilize, hakikisha hiyo jumanne unapata majibu ya maswali yako yote hayo kuhusu mshahara, mazingira ya kazi ,etc. Kutoka hapo utaweza kufanya uamuzi.Habari zenu ndugu zangu
Week iliyopita nilianza kuapply kazi sehemu tofauti tofauti Kwa kua hapa kazini nilipo hali si nzuri
Kwa bahati nikafanyiwa interview Kwa njia ya simu na mwajiri aliyepo dar es salaam maeneo ya mikocheni
Baada ya interview akaniambia nimefuzu hivyo niende siku ya jumanne kwaajili ya mahoniano ya ana Kwa ana
Sasa Mimi nimeingiwa na hofu je niende au nibaki Kwa kua sijui huko kama nitapata hiyo nafasi au la nikiangalia gharama ni kubwa sana kutoka Arusha mpaka dar
La pili nawaza utendaji wangu wa kazi kama utaridhisha Kwa kua ameniambia nitakua naongoza office nzima
Nawaza nisije nikaharibu kazi ya watu
La tatu hatukuongea swala la mshahara mpaka nitakapofika Sasa isije mshahara ukawa kiduchu nifanyaje wananzengo
NB kampuni ni ya mzungu
Natanguliza shukrani zangu
SawaaaaaIla shost
Utadhani upo under 18.
Katika maisha usiogope kufanya trial and errors ktk vitu positive.
Hapo ulipo sahivi kama wanatoa ruhusa, omba kisha uende huko kwa mzungu mkamilishe michakato. From there ndio utakuwa na majibu halisi ya ubaki ulipo, ama uende kwa mzungu.
SawaHapo kazini kwako chukua sick leave. Jifanye ni mgonjwa, unaumwa then uchukue sick leave. Halafu, uende huko Dar ukawasikilize, hakikisha hiyo jumanne unapata majibu ya maswali yako yote hayo kuhusu mshahara, mazingira ya kazi ,etc. Kutoka hapo utaweza kufanya uamuzi.
Pia, mkataba wako wa sasa unasemaje kuhusu utaratibu wa wewe ukitaka kuvunja mkataba, whether within 24 hrs au through a notice ya muda fulani? Mikataba mingi inakua inaelezea vizuri kabisa nini kinatakiwa kifanyike.
Elimu ni degree
Nilichofuzu ni oral interview
Nileongea nae ni mkurugenzi wa kampuni
Uzoefu wangu ni miaka miwili ndo maana Nina wasiwasi kama nitaweza kuongoza office nzima maana Mimi niliomba nafasi nyingine ya kawaida akaniambia nimtumie CV alipoiona ndo akanipigia akaanza kunifanyia interview akaniambia niende nikaangalie office ilivyo na tufanye physical interview tupangiane off days na pia tuongee mshahara
Best advice Ever!!!.Katika maisha usiogope kufanya trial and errors ktk vitu positive
Sijakuelewa mkuu inamaana mkurugenzi hawezi kunifanyia interview? Kwa sababu ganiHakuna Mkurugenzi wa Kampuni serious atakufanyia oral interview, labda kama ni Mjomba wako.
Red flag, kanjanja hizo, kama unaenda, hakikisha auharibu kazi uliyonayo.
Kuna matapeli wengi sana kwenye sector ya ajira, shika sana ulichonacho, uache tamaa.
Hajaomba picha?Mimi ni ke
Mkuu Mimi niliomba kazi kupitia LinkedIn nilifollow companies na pia nilikua naandika kwenye search engine CEO na hr managers majina yakawa yanakuja ya CEO tofauti tofauti na pia hr tofauti tofauti nikawa nawaomba nitumie CV waangalie kama nitapata kazi au waniweke kwenye database zao kazi zikitokea waniite ndo huyo mzungu akaniambia nimtumie CV yangu nikamtumiaHakuna Mkurugenzi wa Kampuni serious atakufanyia oral interview, labda kama ni Mjomba wako.
Red flag, kanjanja hizo, kama unaenda, hakikisha auharibu kazi uliyonayo.
Kuna matapeli wengi sana kwenye sector ya ajira, shika sana ulichonacho, uache tamaa.
Hapana ila anataka akanione physicallyHajaomba picha?
Daaah being a girl child it's tricky, may be he wants you, may be he wants an employer, just be carefulHapana ila anataka akanione physically
Uzuri nimekutana nae LinkedIn Kwa hivyo Sina hofu information zake zote ninazo na namba ya simu nimengalia Kwa mpesa ni jina lake halisiDaaah being a girl child it's tricky, may be he wants you, may be he wants an employer, just be careful