UN Security Council ni sehemu muhimu sana , na kwa sasa kuna viti viwili vya Africa vitakuwa wazi ifikapo September 2019, Security council ndiyo Idara yenye nguvu sana ndani ya Umoja wa Mataifa, na uwepo wa nchi yoyote katika viti hivyo, kutawaletea manufaa nchini kwao kwenye mambo climate change, sustainable development and the region’s security.
Tanzania au nchi yoyote kuchukua hatua ya kuwa na nia ya kuchukua kiti kimojawapo, itakuwa jambo muhimu kwa nchi zinazoendele ndani ya huu mhimili muhimu duniani.
swali jee Tanazania na Iko macho kwa jambo hili, na wanafanya mikakati gani kufanikiwa, tunao watu wengi wenye uwezo wa kushikilia nafasi hii. wenzetu kenya weshaanza campaigne. Tanzania inaheshimika sana barani Africa na nina Hakika na kama tuna habari ya nyadhifa hizo kuwa wazi na tuna nia ya kuzipigania, basi tutaungwa mkono na nchi nyingi wanachama.
Kenya begins early campaign in bid to win seat on UN Security Council
https://www.nation.co.ke/news/Kenya...y-Council-seat/1056-5081808-a3xw30/index.html
Tanzania au nchi yoyote kuchukua hatua ya kuwa na nia ya kuchukua kiti kimojawapo, itakuwa jambo muhimu kwa nchi zinazoendele ndani ya huu mhimili muhimu duniani.
swali jee Tanazania na Iko macho kwa jambo hili, na wanafanya mikakati gani kufanikiwa, tunao watu wengi wenye uwezo wa kushikilia nafasi hii. wenzetu kenya weshaanza campaigne. Tanzania inaheshimika sana barani Africa na nina Hakika na kama tuna habari ya nyadhifa hizo kuwa wazi na tuna nia ya kuzipigania, basi tutaungwa mkono na nchi nyingi wanachama.
Kenya begins early campaign in bid to win seat on UN Security Council
https://www.nation.co.ke/news/Kenya...y-Council-seat/1056-5081808-a3xw30/index.html