Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 4,438
- 1,387
The Tanzania Agricultural Research Institute (TARI) was established by the Parliamentary Act No. 10 of 2016 to enhance the strengthening of agricultural research system in Tanzania. TARI as a semi-autonomous body under the Ministry of Agriculture is responsible for all agricultural research activities conducted by the National Agricultural Research System (NARS) in the country.
Post: Afisa Utafiti Kilimo Daraja La II (Agricultural Research Officer II) – 2 Post
Post Category(S): Farming And Agribusiness
Employer: Tanzania Agricultural Research Institute (TARI)
Application Timeline: 2020-05-07 2020-05-21
Job Summary N/A
Duties And Responsibilities
Remuneration TGS D
Duties & Responsibilities
CLICK HERE TO APPLY
Post: Afisa Utafiti Kilimo Daraja La II (Agricultural Research Officer II) – 2 Post
Post Category(S): Farming And Agribusiness
Employer: Tanzania Agricultural Research Institute (TARI)
Application Timeline: 2020-05-07 2020-05-21
Job Summary N/A
Duties And Responsibilities
Remuneration TGS D
Duties & Responsibilities
- Kusaidia kuandika na kukusanya ripoti za utafiti wa kilimo/uchumi kilimo chini ya maelekezo ya afisa utafiti mwandamizi
- Kukusanya, kurekodi na kuchanganua takwimu za kazi za utafiti zinazoendelea
- Kuhudhuria mikutano ya Kanda ya kuhuisha programu za utafiti
- Kusaidia katika kuendesha semina na kuwaelekeza wakulima jinsi ya kutumia teknolojia mpya kwa kuzingatia hali ya uchumi na mazingira yao
- Kutoa ripoti ya maendeleo ya utafiti na mapendekezo ya utafiti katika mikutano ya kanda ya kuhuisha program za utafiti
- Kufanya shughuli za utafiti chini ya maelekezo na uangalizi wa afisa utafiti mwandamizi
- Kuandika mapendekezo ya utafiti chini ya uongozi wa afisa utafiti mwandamizi
- Kuandika ripoti za miradi ya utafiti kwa ajili ya kupitishwa na afisa utafiti mwandamizi
- Kufanya majaribio ya husishi ya kilimo ma mifugo katika mashamba ya wakulima kwa kushirikiana na Maafisa Ugani na wakulima wenyewe na
- Kufanya kazi zozote kama atakavyoelekezwa na mkuu wake wa kazi
- Kuajiriwa wenye shahada ya kwanza (bachelor degree) ya Kilimo/Uchumi Kilimo/Uhandisi Kilimo au sifa inayolingana na hizo kutoka Chuo Kikuu kinachotambuliwa na Serikali
- Waombaji wawe na ufaulu kwa kiwango cha daraja la pili la juu na kuendelea (GPA in upper second and above) katika shahada ya kwanza
CLICK HERE TO APPLY