Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,993
- 8,916
Toka 2017 hadi Leo mzee unasubiri tu?Kuna aliyepgiwa simu humu na hawa jamaa?
Toka 2017 hadi Leo mzee unasubiri tu?Kuna aliyepgiwa simu humu na hawa jamaa?
YahToka 2017 hadi Leo mzee unasubiri tu?
MmmhKuna aliyepgiwa simu humu na hawa jamaa?
Mbona unaguna?Mmmh
Yeah waliitwa wakafanya written na oral wanasubiri tu kupigiwahivi walishaitwa?
Hahaha.Yeah waliitwa wakafanya written na oral wanasubiri tu kupigiwa
Mkuu lete michongo tufungue kanisa sasaHahaha.
Yani kutoka Deember 2017
Hadi leo August 2018.
Wanataka kuajiri? Hahha is this serious?
Sasa kama sio utani ni kitu gani?
Kiufupi hizi kazi hazikuwepo. "Itakuwa" wamejifanya kutangaza magazetini ili waonekane wana ajira.
Hata ukiangalia kuke ajira.go.tz.
Kila siku wanatangaza kazi ila angalia walioitwa kazini.
Hakuna.
Drama drama
Unajua suluhisho ni nini?
Nipo BotswanaMkuu lete michongo tufungue kanisa sasa
Ayaaaaaa tupeni michongo nasi tujilipue mkuu. SiriazNipo Botswana
Kwani mimi nimejilipua?Ayaaaaaa tupeni michongo nasi tujilipue mkuu. Siriaz
Labda kakuonaKwani mimi nimejilipua?
Sjui mimi suluhishoHahaha.
Yani kutoka Deember 2017
Hadi leo August 2018.
Wanataka kuajiri? Hahha is this serious?
Sasa kama sio utani ni kitu gani?
Kiufupi hizi kazi hazikuwepo. "Itakuwa" wamejifanya kutangaza magazetini ili waonekane wana ajira.
Hata ukiangalia kuke ajira.go.tz.
Kila siku wanatangaza kazi ila angalia walioitwa kazini.
Hakuna.
Drama drama
Unajua suluhisho ni nini?
kwan wameita??Habar jamani, mlioitwa kazini TANAPA tujuzane basi
wameita na wanaendelea kuita so relaxkwan wameita??
Mkuu tupe taarifa kamili inaonekana Kuna vitu unajua...wameita fani zipi ulizosikia hadi Sasa?wameita na wanaendelea kuita so relax
AJIRA ZA MICHANGO HIZOMkuu tupe taarifa kamili inaonekana Kuna vitu unajua...wameita fani zipi ulizosikia hadi Sasa?
Unamaana gani?AJIRA ZA MICHANGO HIZO
NI MICHONGO NIMEKOSEA MDOSIUnamaana gani?