chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 971
- 1,969
Inakuwaje waheshimiwa?
Line yangu ya airtel nilipoteza na niko kwenye mpango wa kuchukua loss report ili ni re-new ila tatizo ni kuwa kuna mtu anatumia hiyo namba tayari na naona kaisajili kwa jina lake sio langu tena, sijajua wametumia utaratibu gani.
Nafanyaje wakuu?
Line yangu ya airtel nilipoteza na niko kwenye mpango wa kuchukua loss report ili ni re-new ila tatizo ni kuwa kuna mtu anatumia hiyo namba tayari na naona kaisajili kwa jina lake sio langu tena, sijajua wametumia utaratibu gani.
Nafanyaje wakuu?