Afisa_Nkai
JF-Expert Member
- Jul 5, 2025
- 256
- 473
Walete kati gademmit. toka magetoni ndo Logo 😁darasa bado linaendelea na hakuna kulaza damu! Lazima niwapige za utosini vizuri bila huruma
Walete kati gademmit. toka magetoni ndo Logo 😁darasa bado linaendelea na hakuna kulaza damu! Lazima niwapige za utosini vizuri bila huruma
Oooh sijaingia jukwaa la MMU 😂😂😂Duhh! Unasinzia nipo kupambana na nyuzi ya saba kwa leo tu, juu SM🥲
Aisee! Ni jasho🙌🏾Oooh sijaingia jukwaa la MMU 😂😂😂
Au sioKati ya hao 30+ na wewe nani wa kuolewa hapo yaani mtoto wa kiume unachamba zaidi ya mtoto wa kike wa uswahilini dah! Kama wewe mwanamme kweli na una maisha uloyapata tofauti na kuuza nyumba ya urithi mpe mwanamme mchongo au wazo ama connection akishndwa mchambe maana talent unayo ni dera tu unaogopa kuvaa. Kuna haja gani upo kikazi nje upange nyumba nzima ushuani na kule home watoto hawaeni shule. Jamii forum wote ni ma boss wewe ndo mswahili coz kwa kichambo tu hujambo ndugu.
Kwenye swala zima la uchumi huhitaji kubembelezwa, unachambua machache mengine tupo kule 🚮😁😁 yaaani huyu ni kama walimu wa primary tu anakupa 25% na 75% utazitafuta mwenyewe, hatoi mbinu ila ukiyachulia maneno yake in positive kuna hatua utatembea
Hmm wanasayansi mna mambo!Moja ya vitu vinavyosababisha kitambi ni kula haraka haraka
Ngoja niende sasa nikapunguze stressAisee! Ni jasho
Kule zitazidi kama hujaoa, kama tayari freshy..Ngoja niende sasa nikapunguze stress
Hiyo ni basic knowledge. It has nothing to do with being a scientist.Hmm wanasayansi mna mambo!
Sawa msomi!Hiyo ni basic knowledge. It has nothing to do with being a scientist.
😅😅😅😅Kuoe zitazidi kama hujaoa, kama tayari freshy..
..utakuwa umechanganya kidogo ni ya kumi na episode ndio ya tisa..Kwa wageni tupo season ya 9