Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
NL kafanya jambo la mbolea sana!!! kinachotuponza watz ni uvivu kujishughulisha tujua ni nani tunaye mchagua atuwakilishe!!! If we could only dig a little deeper mbona tutaona mengi ya kutisha!!!!
tatizo watu kama hawa wanakimbilia huko ma village bht, no net wala lolote! sasa akienda mtu kama huyu na tai na sera zake za hapa na pale, amewanasa....umackini kitu kibaya sana.