Wana JF kama nilivyoahidi kuwa ijumaa nitaondoka kulekea Arumeru kuhakikisha naripoti kila ninachokiona huko kwa sasa nipo Segera nasubiri usafiri,Mwigulu nakuja kuhakikisha this time picha za video zinapanda you tube
Moja kwa moja naelekea ofisi za halashauri ya Meru kwanza,ila naona hauna watu zaidi ya mafundi ujenzi,nataka kuongea na msimamizi wa uchaguzi nijue undani wa pingamizi na nini hatma yake
Kwa uchaguzzi yupo msimamiziMkuu leo ni cku ya kaz?au changa la macho mkuu?
Wana JF kama nilivyoahidi kuwa ijumaa nitaondoka kulekea Arumeru kuhakikisha naripoti kila ninachokiona huko kwa sasa nipo Segera nasubiri usafiri,Mwigulu nakuja kuhakikisha this time picha za video zinapanda you tube