Nadharia kuhusu chanzo na maana ya heshima ya kijeshi ya Mizinga 21

Tumerithi tu taratibu za mkoloni. Nafkiri Muingereza ndio atakua na majibu.
 
Hii idadi inatokana na watu wanaoamini kwenye imani za nguvu za namba. Kwao namba zinazogawanyika kwa mbili zinamaanisha kifo wakati zile zinazogawanyika kwa tatu zinamaansha amani. Kwa maana nyingine ingawa mizinga inapigwa 21 lakini inapopunguzwa kutokana na cheo cha mtu, bado idadi yake itagawanyika kwa tatu.
 
Wajuzi naomba mtujuze kwanini mizinga huwa inapigwa 21
Taratibu hii ilianzia mwaka 1776 kule marekani. Marekani ilipata Uhuru wake 1776 sasa wanajeshi siku ya Uhuru wakataka kusherehekea siku hiyo kwa kupiga mizinga. SwaLi likaja wapige mizinga mingapi kuonyesha furaha yao? Mmoja akashauri kuwa wajumlishe namba zote zilizoko kwenye maana 1776 jibu watakalopata ndio liwe idadi ya mizinga watakayopiga. Ukijumlisha namba zote za 1776 jibu utapata 21.yaaani 1+7+7+6 jibu ni 21. Wakapiga mizinga 21. Toka hapo Ukawa desturi ya majeshi duniani wakifurahia jambo iwe kupokea kiongozi au sherehe kupiga mizinga 21
 
Taratibu hii ilianzia mwaka 1776 kule marekani.Marekani ilipata Uhuru wake 1776 sasa wanajeshi siku ya Uhuru wakataka kusherehekea siku hiyo kwa kupiga mizinga.Swami likaja wapige mizinga mingapi kuonyesha furaha yao? Mmoja akashauri kuwa wajumlishe namba zote zilizoko kwenye maana 1776 jibu watakalopata ndio liwe idadi ya mizinga watakayopiga.Ukijumlisha namba zote za 1776 jibu utapata 21.yaaani 1+7+7+6 jibu ni 21.wakapiga mizinga 21.toka hapo Ukawa desturi ya majeshi duniani wakifurahia jambo owe kupokea kiongozi au sherehe kupiga mizinga 21
GOAT
 
Hii ni ishara ya utii kwa watawala.

Huko nyuma ilitumiwa na jeshi lililoshindwa, ili kuonyesha utii kwa watawala wapya na kuonyesha silaha zao hazina madhara tena kwa kupiga risasi hewani.

Meli za mwanzo zilikuwa zinakuwa na mistari mitatu ya bunduki na kila mstari ukiwa na bunduki Saba. Jumla bunduki 21.

Kwahiyo walipiga risasi hewani kwa bunduki zote zilizokuwemo ndani ya meli kama ishara ya kwamba vita basi na silaha zetu tuna surrender na hazina madhara tena.
 
Back
Top Bottom