Hi JF Members!
Wakuu naomba kufahamu kwa nini viongozi wa kitaifa hasa marais huwa wanapigiwa mizinga 21 na si zaidi au chini ya 21.
Kuna siri gani katika hiyo no 21?
Kwa anayejua plz? cc mshana jr
Nenda www.google.com/twentyonegunsalute
Utapata maelezo murua kabisa.