Nadharia kuhusu chanzo na maana ya heshima ya kijeshi ya Mizinga 21

Kipanga

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
676
34


Kuna jambo huwa linanitatiza kuhusiana na heshima ya mizinga 21 inayotolewa kwa kiongozi mkuu wa nchi (Rais) aidha anapokuwa katika shughuli za kitaifa ndani kama vile kuadhimisha siku ya uhuru n.k au wanapokuja viongozi maraisi wa nchi za nje kutembelea Tanzania.

Nataka kujua ni kwa nini wanapigiwa mizinga 21 kuwa ni ishara ya heshima kwa Rais, Je chimbuko lake ni nini?, Kwani nini mizinga 21 tu na isiwe zaidi au pungufu ya 21? Kutompigia mizinga 21 Rais kunamaanisha kuwa heshima kwa raisi husika inashuka?

Naomba wale wataalamu wa mambo ya itifaki na kijeshi wanieleweshe kuhusu jambo hili.

Naomba kuwasilisha.

BAADHI YA WADAU WENGINE WENYE KUHITAJI UFAFANUZI

MICHANGO NA NADHARIA MBALIMBALI TOKA KWA WADAU
 
Wapendwa wana JF naiweka hii topic kwa mara nyingine hapa jamvini ili niweze kueleweshwa mantiki nzima ya viongozi wakuu wa nchi kupigiwa mizinga 21. Huwa najiuliza kwa nini mizinga 21 na isiwe pungufu au hata zaidi? Nilipoweka thread hii hapo awali ilipita kimya kimya. Kwa anaefahamu tafadhali tuelimishane.
 
Yani hapo ni kuwa umeirudia kwa jina lilelile.

Mizinga?

Subiri nikuitie Icadon akueleze vema manake ndiye mwenyewe kwa masuala haya! Mwanakijiji na ES watakudanganya tuu
 
Ni kweli Jamaa yangu Kipanga, hata mie nilikuwa ninajiuliza swali hilo hilo; nikawa pia ninajiuliza ni kwanini isiwe Mzinga 1? Au Mizinga 3 au Mizinga 7 au Mizinga 70?

Kwa kweli Wana JF mkitupa jibu la hili swali linatusaidia wengi.

Nawasilisha.
 
Kwa nini Longitude 0 (aka Greenwhich Meridian) inapita London na sio Kibaha?

Hili swali nilimuuliza Mwalimu wangu wa Geografia nilipokuwa Darasa la sita wakati huo. Jibu alilonipa ni kuwa Waingereza ndio waliokuwa wameendelea kwenye mambo ya Geografia kuliko wengine, hivyo basi wakapendelea mji wao wa Greenwich uwe ndio Logitude 0. Kwa hivyo tunafuata hata sasa na sijui kama itajabadilika labda utumie UTM.
 

There you go, the same applies to 21 gun salute, must be some significant Freemasonry code.
 
......What?
 
......What?

It is undisputed that the Brithish ruled the sea, and hence the world - the root of cultural and geographical hegemony back in the days when the sun never did set on their empire.
 


The tradition of saluting can be traced to the Middle Ages practice of placing oneself in an unarmed position and, therefore, in the power of those being honoured. This may be noted in the dropping of the point of the sword, presenting arms, firing cannon and small arms, lowering sails, manning the yards, removing the headdress or laying on oars.

The cannon salute might have originated in the 17th century with the maritime practice of demanding that a defeated enemy expend its ammunition and render itself helpless until reloaded — a time-consuming operation in that era. Also, the gun salute was established as a naval tradition by the late sixteenth century. A man o' war which visited a foreign port would discharge all its guns to show that its guns were empty. Since the ship would not have enough time to reload before it was within range of the shore batteries, it was clearly demonstrating its friendly intentions by going in with empty guns.

Salute by gunfire is an ancient ceremony. The British for years compelled weaker nations to render the first salute; but in time, international practice compelled "gun for gun" on the principle of equality of nations. In the earliest days, seven guns was the recognized British national salute because seven was the standard number of weapons on a vessel. In that day, gunpowder made from sodium nitrate was easier to keep on dry land than at sea. Thus those early regulations stated that although a ship would fire only seven guns, the forts ashore would fire three shots to each one shot afloat, hence the number 21.

With the increase in quality of naval gunpowder, by the use of potassium nitrate, honours rendered at sea were increased to the shore salute. 21 guns became the highest national honour, although for a period of time, monarchies received more guns than republics. Eventually republics gained equality in Britain's eyes.

When British India was the jewel in the crown of the British Empire, the king-emperor would receive an Imperial salute of 101 guns, but for the more important of the hundreds of colonial vassals rulers of princely states involved in indirect rule, there was a formal hierarchical system of odd numbers of guns as a salute, expressing the Monarch(y)'s prestige, the highest of these so-called salute states (also in some other parts of the empire) enjoying 21 guns (till 1947 only their Highnesses the Nizam of Hyderabad and Berar and the Maharajas of Mysore, of Jammu and Kashmir, of Baroda and of Gwalior). For years, a few non-colonized Monarchs were granted 21 guns (Nepal, Oman, Mosquito Coast and Zanzibar) or even 31 guns (Afghanistan and Siam).

There was much confusion because of the varying customs of maritime states, but finally the British government proposed to the United States a regulation that provided for "salutes to be returned gun for gun." The British at that time officially considered the international salute to sovereign states to be 21 guns, and the United States adopted the 21 guns and "gun for gun" return on August 18, 1875.

- Wikipedia.
 
Kila kitu sisi tunaiga tu.

Sisi kina nani?

Kama unaongelea waafrika basi wao waliiga kwanza, waliiga calendar ya siku 365, wakaiga Geometry, wakaiga kufahamu mzingo wa dunia etc etc.

Maendeleo ya kisayansi ya Ulaya yamekuja juzi tu baada ya crusaders kwenda kuiba vitabu vya waarabu na wamisri.
 

Bana eeh kama hujui "sisi" ni kina nani shauri yako.

Siko hapa kubishana mambo yaliyowazi. Ok basi, Afrika tumeendelea na wazungu waliiga (sijui nini) kutoka kwa Waafrika. Happy now Mr. Manchild?
 
Nyani Mc Cain, Africans are not stupid as you seem to think, our stages of development were disrupted colonialism.They developed ahead of us, someone always has to come first, this time it wasn't us. Watu kama wewe wenye mentality za "Miafrika ndio ilivyo" as you put it ndio hamchangii lolote ili tucatch up. Africans have made some interesting discoveries for your information....google it, and we continue to do great things in our African way even today. Have a positive week end
 

Well then they (Africans) were stupid to let the colonialists disrupt their stages of development.....why would you let someone disrupt your way of living?
 
Bana eeh kama hujui "sisi" ni kina nani shauri yako.

Siko hapa kubishana mambo yaliyowazi. Ok basi, Afrika tumeendelea na wazungu waliiga (sijui nini) kutoka kwa Waafrika. Happy now Mr. Manchild?

For a Republican you are such a collectivist!
 
Mie sio mtaalamu wa mambo ya kijeshi.

lakini nauliza kwa nini nadhani marais wote wakiapishwa wanasindikizwa na mizinga 21? kwa nini isiwe 20, ama 25 ama 30 nk, yaani namba ambazo zinakumbukika vizuri.

mfano si busara kumwambia mtu aje labda saa moja na dk 11,12,13,17, nk lakini utamwambia aje na dk 15, 20 nk. kwanini mizinga 21 na imekuwa universal. ni nani aliyependekeza hiyo 21?
 
Ngoja waje watalaamu wa mabomu ya Gongo la Mboto na Mbagala watatwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…