Nadhani WAMA (ya Salma-Kikwete) hapa wanawanyonga Wanyonge

KBOSCO

JF-Expert Member
Aug 31, 2014
377
82
Nina ndugu yangu mmoja katika mkoa fulani hapa Tanzania amepata ngekewa ya mwanae kusomeshwa na shule inayoendeshwa na WAMA huko Lindi.

Tofauti na ninachokiamini na kukijua juu ya utaratiba wa Ruzuku hiyo nikwamba; kwa Muda sasa,watoto hao wamekuwa wakipewa nauli ya kurudi majumbani kwao nyakati za Likizo.

Lakini,Muhula huu,wazazi na walezi wa watoto hao wamepigiwa simu na watoto wao wakidai fedha za nauli kwakusema,"UTARATIBU UMEBADILISHWA"

Sijaelewa kabisa juu ya dhana hiyo ukilinganisha kuwa,"WAMA" ni taasisi Tajiri yenye uwezo wakuhudumia watoto na shule hiyo vizuri.

Now; naomba mnisaidie kuwa,TAASISI HIYO IMEANZA FILISIKA AU INACHAKACHUA WAZAZI/WALEZI WA WATOTO HAWA??"

Maana wengine hawana hata senti moja yakutuma na ndio maana watoto hao walikuwa mtaani tu vijijini.

NAOMBA UELEWA KWA WANAJAMVI.
#Nawasilisha
 
hiyo taasisi ni ya majamvazi, haina msaada kwa jamii
kama wanavyodai
angaliaas tu hao "wama" wamefanya miradi gani ya kusaidia jamii....hakuna kitu
ni wabinafsi wao kwa wao tu
 
Taasisi hii ilikuwa na ni mradi wa kupata fedha za familia, lakini zaidi ni kwamba Salma anatunza fedha kwa ajili ya uchaguzi Mkuu mwakani kwani atagombea ubunge.

Kila mwaka Mengi anaichangia Taasisi hii zadi ya Tshs. 200 milioni kwa miaka mitano,na bado michango toka kwa wafadhili wa nje.
 
Taasisi hii ilikuwa na ni mradi wa kupata fedha za familia, lakini zaidi ni kwamba Salma anatunza fedha kwa ajili ya uchaguzi Mkuu mwakani kwani atagombea ubunge.

Kila mwaka Mengi anaichangia Taasisi hii zadi ya Tshs. 200 milioni kwa miaka mitano,na bado michango toka kwa wafadhili wa nje.

huyu mama namshangaaa wewe umetoka kwenye u frst lady tena anataka ubunge....bado urohooo wa madaraka...huyu x-mwlm wa mbuyuni kweli kanogewa na madaraka....ngoja aende bungeni akakutane na wakina kafulila mnyika lissu team
 
Taasisi hii ilikuwa na ni mradi wa kupata fedha za familia, lakini zaidi ni kwamba Salma anatunza fedha kwa ajili ya uchaguzi Mkuu mwakani kwani atagombea ubunge.

Kila mwaka Mengi anaichangia Taasisi hii zadi ya Tshs. 200 milioni kwa miaka mitano,na bado michango toka kwa wafadhili wa nje.

hiyo taasisi ni ya majamvazi, haina msaada kwa jamii
kama wanavyodai
angaliaas tu hao "wama" wamefanya miradi gani ya kusaidia jamii....hakuna kitu
ni wabinafsi wao kwa wao tu

Asanteni kwa michango. Sasa mnisaidie juu ya issue kubwa ya "NAULI" kama nilivyowaeleza. Maana baadhi ya wazazi/walezi wanaona nafuu hata wawazile watoto wao. Na "JF" ndio mkombozi wetu hakika.
 
Back
Top Bottom