Nadhani wa kulaumiwa au kushtakiwa ni tume ya uchaguzi

Nadhani wa kulaumiwa au kushtakiwa ni tume ya uchaguzi

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,912
Reaction score
6,523
Kila mara ninapomsikiliza rais Samia, naona wazi ana uhakika kabisa kuwa alipigiwa kura kwa asilimia 97. Haoneshi kuwa na wasiwasi wala mashaka. Japo ni kweli kuna maeneo vurugu zilitokea katika vituo vya kupigia kura. Na ni kweli mabox ya kura yaliharibiwa.

Je, tume ilipaswa kufanya nini? Kutangaza tarehe mpya ya uchaguzi kwa vituo husika? Au kuhairisha zoezi la kuhesabu kura na kutangaza tarehe mpya ya uchaguzi kwa taifa zima?

Bila shaka tume inapaswa kubeba lawama zote. Kama kweli wananchi hawakupiga kura kwanini walitangaza matokeo? Kwanini wamemdanganya mgombea?
 
Yeye ndio aliilekeza tume imushindishe kwa 97.66%
 
Tume ya kupigania tumbo ikisaidiwa na vyama shikizi ilitekeleza maelekezo.
 
Back
Top Bottom