Nadhani tumeelewana...

Sasa nani alikudanganya mapenzi ni mafujo na kuumizana? Huoni ndo maana mabinti wanatupenda vikongwe kwa sababu tunajali, tunatuza, tunawezesha na tunawafikisha vileleni bila ya kuumizana tena ni full maraha? Na si wajua sie ni wazoefu siyo? Think sobhuza think!!!

Asprin usifanye nikasimama juu ya meza hapa bar nikaonekana kituko...

wazee mabint wanawapenda kwa kuwa hamuwatoi jasho na mnafunguka tu mihela...

akikukuna kitambi...akicheza cheza na nyeti zako...kituuuu...wazungu haoooo...hata bao la kichwa hufungi!...

pia hamna usumbufu maana ukifika kwa mkeo ndo kigoma hutampigia sim wala nini...

sasa ndo anatafta vijana wakachochee na kusimami kama baiskeli...mpaka maji yana mwishia mwilini...LOL
 
Last edited by a moderator:
Hapana Asprin, mabinti wanawapenda kwa vile shughuli yenu haba, afu mnajua kuhonga. Sasa kijana kama BAGAH akikuhonga ujue cha mnyonge utakitapika hadharani, atakupanda kama baskeli ya kukodi...
Mbinti akitoka hapo injini ya motoo, shokapu zote nyakanyaka, chezea vijana wewe?

sobhuza uko karibu na bar?...hebu kunywa ndovu sita uniletee risit jumatatu...

huyu babu anacheza na mziki wa vijana aisee...unakumbuka zile pump za za baiskel?...unajua jinsi ya kuzitumia?...ile movement yake sasa ndo inakua mpango mzima juu ya mwili wa mwanadamu...
 
Last edited by a moderator:
Tptb love Jbjb Tabhabhhogb Jhhogkh Zpfszb Qtabhdb Medicine Hakjtb Aavq. Sjozqtab Hsks Ztab Jsbzb Jcefpfq Srassakhncefb, Vakjosichs Ztab and Bashb Jqafboaho
Hassakh Hack Abjsrsb Abhsag Ttabhab. Fethbouk Tabaoo

-Even google translator couldn't understand u...

Ndo taabu ya dot.com, unakimbilia Google bila kufahahamu kuwa wao wamechagua lahaja ya Saudia kama kiarabu chao, we unajua mi nimeandika dialect ya wapi?
Katika kuumbua kuna kuumbuka pia.
 
Sasa nani alikudanganya mapenzi ni mafujo na kuumizana? Huoni ndo maana mabinti wanatupenda vikongwe kwa sababu tunajali, tunatuza, tunawezesha na tunawafikisha vileleni bila ya kuumizana tena ni full maraha? Na si wajua sie ni wazoefu siyo? Think sobhuza think!!!

Yale sio mafujo wewe, ndo mapenzi yenyewe hayo. Masikini zilipendwaa...
 
Last edited by a moderator:
Huu ***** ndo baadae unasababisha lawama kuwa JF haipo hewani kumbe ***** umejaa kwenye server!
 
Huu ***** ndo baadae unasababisha lawama kuwa JF haipo hewani kumbe ***** umejaa kwenye server!

Uzuri hili ndo jukwaa la huo unyotanyota, afu kakudanganya nani kama unyotanyota unajaza server?
 
Hapana Asprin, mabinti wanawapenda kwa vile shughuli yenu haba, afu mnajua kuhonga. Sasa kijana kama BAGAH akikuhonga ujue cha mnyonge utakitapika hadharani, atakupanda kama baskeli ya kukodi...
Mbinti akitoka hapo injini ya motoo, shokapu zote nyakanyaka, chezea vijana wewe?

hahaa! laadhidhi nashukuru km mwalitambua hlo... meipenda baiskel ya kukodi!
 
Last edited by a moderator:
laadhidh nimecheka mpk nimepaliwa mate, kumbe nawe hujanielewa n-way i meant mependa statement "baiskel ya kukodi"
 
Uzuri hili ndo jukwaa la huo unyotanyota, afu kakudanganya nani kama unyotanyota unajaza server?

unyotanyota hahahaa... umenkumbusha lecturer wetu m1 akifundisha km hamjaelewa anaulza vp mnaona nyota nyota nini?
 
unyotanyota hahahaa... umenkumbusha lecturer wetu m1 akifundisha km hamjaelewa anaulza vp mnaona nyota nyota nini?

Bwahahahaha, asiwe lekchara wa vodafasta tu huyo... Hani ngoja niangalie Bilbao vs Catalunya.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom