- Thread starter
- #21
duh huyo guberi ndo anakufaa, utakuwaje na binti then umle mama yake?????
Binti nilimpenda ila nikabaini ni mdogo sana, ukubwa wa umbo tu, nikasema nisubiri akuwe kuwe kidogo, then nikakutama na mama mtu yakatokea yaliyotokea. Ila note one thing nilipoingia kwenye mahusiano na mama mtu nikawa nimeshaamua yule binti atakuwa rafiki tu, shida kila binti alivyokuwa anazidi kupendeza ndivyo mama mtu alivyo akiongezeka wivu!