NACTE second round afya yametoka leo

NACTE second round afya yametoka leo

Kuna mdowang jana katumiwa txt kuwa amechaguliwa 2nd round rubya medical lab na awajulishe mapema kama ataenda au laa il chance yake ichukuliwe na mtu mwngne bt profile yake machaguo yapo ila nafasi ndo zimepungua tu na kuna deadline ya tr 16/10 ko atakuwa amedanganywa au walio chaguliwa wenyewe profile inaoneshaje?
 
Kuna mdowang jana katumiwa txt kuwa amechaguliwa 2nd round rubya medical lab na awajulishe mapema kama ataenda au laa il chance yake ichukuliwe na mtu mwngne bt profile yake machaguo yapo ila nafasi ndo zimepungua tu na kuna deadline ya tr 16/10 ko atakuwa amedanganywa au walio chaguliwa wenyewe profile inaoneshaje?

usjali mkuu chuo cha rubya wakikuchagua huwa wanakujulisha direct kwnza hata mie nimechaguliwa hapo na nimeshakofam tayari
 
usjali mkuu chuo cha rubya wakikuchagua huwa wanakujulisha direct kwnza hata mie nimechaguliwa hapo na nimeshakofam tayari

Uli apply 2nd au ile ya kwanza? na walpokujulsha direct ulkaa mda gan ukakuta profile yako ina sehem ya kukonfm
 
Aiseeee mbna nimeingia nimekuta deadln imeonhezeka alaf na capacity imeongezeka yan ndio wanazidi kunichanganyaa axee....
 
jaman eeh mepata nes diplma but natak clinical med,hata cjui nifanyaje je kuna kubadilisha chuo chenyew ni govt
 
jaman eeh mepata nes diplma but natak clinical med,hata cjui nifanyaje je kuna kubadilisha chuo chenyew ni govt

transfer ikifika omba vyuo vya private uko uko utabadili kutoka nurse to clinical medicine
 
Wakuu nacte wameshatoa post kwa wale wa second round hebu chek profile zenu me nimetumiwa sms from nacte nimeambiwa nicomfirm nimechaguliwa C.O pale KS ROYAL MBEYA

kulaleki hizi second round mwaka huu sijui itakuwepo ,,nataka nifanye maamuzi magumu
 
Wakuu nacte wameshatoa post kwa wale wa second round hebu chek profile zenu me nimetumiwa sms from nacte nimeambiwa nicomfirm nimechaguliwa C.O pale KS ROYAL MBEYA
Vip mkuu...naomba unijulishe ubora wa chuo cha ks royal college..nimechaguliwa hapo
 
Back
Top Bottom