Willy mayor
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 346
- 44
Wakuu nacte wameshatoa post kwa wale wa second round hebu chek profile zenu me nimetumiwa sms from nacte nimeambiwa nicomfirm nimechaguliwa C.O pale KS ROYAL MBEYA
Wakuu nacte wameshatoa post kwa wale wa second round hebu chek profile zenu me nimetumiwa sms from nacte nimeambiwa nicomfirm nimechaguliwa C.O pale KS ROYAL MBEYA
Wakuu nacte wameshatoa post kwa wale wa second round hebu chek profile zenu me nimetumiwa sms from nacte nimeambiwa nicomfirm nimechaguliwa C.O pale KS ROYAL MBEYA
Me nime2miwa SMS kutoka nacte wameniambia nimechaguliwa K'S ROYAL COLLEGE MBEYA MJINI so nifanye comfirmation kwenye profile yangu. Me niliomba certificate coz nina upungufu wa points yan sina points 28 kama wanavyotaka wao. Me nilijua ni kila m2 kapata sms but nashangaa kuona ni mie 2
Me nime2miwa SMS kutoka nacte wameniambia nimechaguliwa K'S ROYAL COLLEGE MBEYA MJINI so nifanye comfirmation kwenye profile yangu. Me niliomba certificate coz nina upungufu wa points yan sina points 28 kama wanavyotaka wao. Me nilijua ni kila m2 kapata sms but nashangaa kuona ni mie 2
yaan point 28 za div 4 au?? nieleweshw next year dogo aombe aisee
Me nime2miwa SMS kutoka nacte wameniambia nimechaguliwa K'S ROYAL COLLEGE MBEYA MJINI so nifanye comfirmation kwenye profile yangu. Me niliomba certificate coz nina upungufu wa points yan sina points 28 kama wanavyotaka wao. Me nilijua ni kila m2 kapata sms but nashangaa kuona ni mie 2
nataka nijue mkuu ushaconfirm sasa au
ndio mkuu alafu nimejaribu kuwauliza ni kwa nn wameni2mia me mwenyewe wakasema et sio me mwenyewe bali ni wengi ila jambo la muhmu ni kuwa chuo husika wanafungua mapema ndo sababu moja wapo na jingine ni kwamba wapo watakaokosa tena kutokana na kuchagua vyuo ambavyo vimeshawahiwa mfano capacity zpo 14 then total ya ya first,second and third ni 200 yan jumla ya wa2 waliowahi ziwah hizo nafasi 14 alafu wewe unakuja kuomba unakuwa m2 wa 203 wakati wanaitajika 14 so mtabidi musubirie third round ya february kwa watakao kosa tena
ndio mkuu alafu nimejaribu kuwauliza ni kwa nn wameni2mia me mwenyewe wakasema et sio me mwenyewe bali ni wengi ila jambo la muhmu ni kuwa chuo husika wanafungua mapema ndo sababu moja wapo na jingine ni kwamba wapo watakaokosa tena kutokana na kuchagua vyuo ambavyo vimeshawahiwa mfano capacity zpo 14 then total ya ya first,second and third ni 200 yan jumla ya wa2 waliowahi ziwah hizo nafasi 14 alafu wewe unakuja kuomba unakuwa m2 wa 203 wakati wanaitajika 14 so mtabidi musubirie third round ya february kwa watakao kosa tena
duuuh sawa kama yametoka na ushaconfirm mbon deadline imeongezwa na reset ipo so kuna chance nyingine ya kuchagua vyuo au
duuuh sawa kama yametoka na ushaconfirm mbon deadline imeongezwa na reset ipo so kuna chance nyingine ya kuchagua vyuo au