Nachukua Electrical & Electronic engineering naweza baadaye kuchukua gesi na madini?

Nachukua Electrical & Electronic engineering naweza baadaye kuchukua gesi na madini?

maramia

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2015
Posts
2,029
Reaction score
1,345
Niko mwaka wa tatu kozi iliyotajwa hapo juu. Niliichukua kozi hii kwa kukosa mwongozo wa vyuo ninavyoweza kusoma kozi hii ambayo niliipenda tangu nikiwa shule ya msingi.

Ninachouliza ni kama baada ya kuimaliza kozi hii naweza kusoma kozi ya madini na gesi na kwa kufuata utaratibu upi.

RYOBA SHARIFF,
St. Joseph collage of Engineering & Technology
Dar es Salaam.
 
Hyo hyo ipo Vzuri huko gesi na madini labda kama mzee wako ana Kampuni ya kukuajiri na sio TPDC
 
Bab..huku duniani kuna ghasia za kila aina kuhusu oil na gas.kuanzia A-ccounting to Waste Production in Oil and Gas..
Mfano kwani hiyo mitambo haiendeshi na umeme??
Electronics na Electrical engineering ina field inaitwa Instrumentation..
Hii inatawala mchezo mzima wa operations za rigging machine,drillers na rig operations..
SWALI.
Unataka kuwa nani kwenye field ya gas na oil..?
Maana bila kujua whom you want to be itakuwa kazi bure watu kukujibu??
 
Kama unasoma bachelor then kuna subcourse humo inaitwa instrumentation, controls engineering. Hizo zina apply sana kwenye mitambo yoyote hata ya gas.
 
Back
Top Bottom