Tajiri Mtoto
JF-Expert Member
- Feb 12, 2009
- 221
- 589
Hauko romantic!Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.yani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea ata sipendi.
Wanaume wengine hiyo ni zuga tu, saa nyingine inakuwa mtu katika kuchunga mzigo wake,maana wanawake wenyewe wa siku hizi hamtabiriki nyinyi...Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.yani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea ata sipendi.
Mashariti uwe na 'pocket money' ya kutoshanjoo kwangu me huwa sichungulii kabisa
kama ni ndoa sijui kama ina maisha marefu.Hili pia ni la kuliandikia Uzi kweli???
🏃🏃
Wekeni ratiba ya vyakula.Ni lazima nikachungulie jikoni ni nini kinapikwa ili nijiandae kisaikopojia
Labda huwa ana vikolezeo vya kuwapumbaza hataki vijulikaneBado hujaeleza sababu zako za kutokupenda hicho unacho kilalamikia hapa.
Mwanaume aliyeenda jando hawezi fanya hicho huyo dada anacholalamika hapo.Bado hujaeleza sababu zako za kutokupenda hicho unacho kilalamikia hapa.
Unaogopa atakufuma unaonja nyama kama imeiva?Yani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika. Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.