bado hujampata wa kumpenda ndio maanaKatika vitu ambavyo navichukia na naviepuka kwa udi na uvumba ni Kupenda, binafsi sioni faida yake zaidi ya karaha na mateso.
Katika vitu ambavyo navichukia na naviepuka kwa udi na uvumba ni Kupenda, binafsi sioni faida yake zaidi ya karaha na mateso.
vilevile hujapanda anaekupenda kwa dhati yaan pole maana upweke ni zaidi ya ukimwibado hujampata wa kumpenda ndio maana
unamiaka mingapi? na umependa mara ngapi?
ndio mana nikataka kujua age yake manake,au ameongea kwa hasira sanaaaaa i can undestand him/her..Nadhani huyu bado yuko kwenye age ya exploring na bahati yake mbaya akaumizwa mapema.. So he tries to hit back.. Only he hits back his own shadow..
ndio mana nikataka kujua age yake manake,au ameongea kwa hasira sanaaaaa i can undestand him/her..
bado hujampata wa kumpenda ndio maana
Ndio,tena vibaya sanaaaaaaaa.Umeshawahi kuumizwa NIMPENDENANI..?
Nikiwa na urafiki na msichana, nikianza kumpenda tu, nakimbia mbali haraka, sitaki tena ukaribu!!