Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 640
ndio mungu hapendi lakini kuna kipindi hata yeye huwa anafika mahali anakunong'oneza kuwa
mwanangu sepa haraka huyu sio .......nilikupitisha hapa ili ujifunze kuwa wanaposema kua uyaone hawamaanishi magorofa.......
Ha! Mwenzio nilidhani kua uyaone mata*o