Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Hivi huyu OLESAIDIMU kilichomfurahisha mpaka akatoa likea ni nini?
Kwa niaba yake amejua kama The Boss pia kakutumia tigo pesa lol
Last edited by a moderator:
Hivi huyu OLESAIDIMU kilichomfurahisha mpaka akatoa likea ni nini?
Hahaha mkuu OLESAIDIMU umenichekesha sana watu wa ivo wapo sana tu sema.wengine hasira ziko mbali unaweza kumdhuru mtu..halafu ukimwangalia saana anachokiringia wala sio ki ivo
sa huyu haelewi kashakariri mwanamke akicheka mins yes, wengine sijui wa wapi
kila mtu anacho anachokiringia nt necessary vilingane na matakwa yako, mwanamke kuringaa
We ulikuwa wapi nilishaanzishaga thread ya sexual tensions
Mimi sina tigo nina airtel na voda.
Si umpe tu yaishee! !!!!!!!!!
Hahaha mkuu OLESAIDIMU umenichekesha sana watu wa ivo wapo sana tu sema.wengine hasira ziko mbali unaweza kumdhuru mtu..halafu ukimwangalia saana anachokiringia wala sio ki ivo
kila mtu anacho anachokiringia nt necessary vilingane na matakwa yako, mwanamke kuringaa
Ninaamini unaijuia ile sehemu ilipoandikwa BLOCK kwenye simu yako