Nachukia hii tabia ya co worker

Nachukia hii tabia ya co worker

Nawe kwa kuongea kiluzi hata sehemu za kutoa busara hujambo, kwahiyo wewe huwa unawapa yanaisha wanaokusumbua? Iwapo ni vile mbona Sayansikimu anakusumbua kila siku hujampa? Tupunguze ufunyugulu kwenye topic za kujenga


Haliiii hamo wasayagaaa
 
Hahaha mkuu OLESAIDIMU umenichekesha sana watu wa ivo wapo sana tu sema.wengine hasira ziko mbali unaweza kumdhuru mtu..halafu ukimwangalia saana anachokiringia wala sio ki ivo
Dawa ya hivi ni ndogo mno ukiwajulia..
 
Last edited by a moderator:
Kutongoza kuna methodology nyingi. Yeye ameamua kutumia style hiyo.
 
Kutongoza kuna methodology nyingi. Yeye ameamua kutumia style hiyo.

Ha ha haaaa uko sawa sana jamaa anaimbisha halafu anakomaa kuwa yeye anafurahia ukaribu tu hana nia mbaya, kana kwamba kuna tape measure!!!!!!!
 
Nawe bila kunitaja hujisikii kabisa!!!!!??naona nakupa pumzii etiiii

Dina sio siri unanifanya nafurahi sana humu jamvini bila wewe ningekuwa najishindia zangu facebook.NIRUHUSU BASI NIKUTUMIE PM au nifahamishe jina la akaunti yako ya facebook au whatsupp.Sijui Dina una nini .Hivi Kwa Nini Napenda Kukufuatilia Sana.Dina hebu nipe SIRI YA MAFANIKIO YAKO.TAFADHALI.
 
Dina sio siri unanifanya nafurahi sana humu jamvini bila wewe ningekuwa najishindia zangu facebook.NIRUHUSU BASI NIKUTUMIE PM au nifahamishe jina la akaunti yako ya facebook au whatsupp.Sijui Dina una nini .Hivi Kwa Nini Napenda Kukufuatilia Sana.Dina hebu nipe SIRI YA MAFANIKIO YAKO.TAFADHALI.

We jifanye kichwa ngumu kama golori,ulijibiwa pm bado unataka kutuma Pm aisee,we utakua ni mfupii maana upo king'ang'aniziiii
 
We jifanye kichwa ngumu kama golori,ulijibiwa pm bado unataka kutuma Pm aisee,we utakua ni mfupii maana upo king'ang'aniziiii

Hahahhah hah hah .Kumbe watu wafupi ndo wanakuwa kichwa NGUMU .Dina NAKUAHIDI UKINIRUHUSU PM TUTAKUWA TUNAONGEA MAMBO YA MAANA .TUTAONGEA MAMBO YA MAANA KABISA .siwezi kuongea ujinga huko.HEBU NIRUHUSU niwe nakutumia PM moja tu kwa siku.Tusinyimane furaha dina.
 
Back
Top Bottom