Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
kwani wewe ni wa kijani?
Mi ni wa blue
kwani wewe ni wa kijani?
kama unapenda avatar nyeupe na wewe ni mweupe
Inaitwa love and hate hiyo....kuna kitu between you....somethin like 'sexual tensions'
Nikiandika kwa kirefu ntatukana, lakini huyu mkaka alijifanya anajua kukea maana kila muda ananichek, mara tukale , mara sijui nini, yaani me nikajua nature wanaume kucare wanawake, naombe itambulike sio kwamba ananipa ofa au nini, ila tukale tu wote, kukiwa na ruti anapendekeza tupangwe wote, kukiwa mna kazi tuwe wote team moja.
Sasa ameanza katabia ka kunionyesha picha za ajabu mara khanga moko , mara kigodoro, mara baikoko, me nikiona tu naipotezea, sasa kakazana me sielewi nimemwambia sizihitaji lakini namuona ananikomalia, acha kujifanya mtoto hivi vya kawaida tu, basi nimemchukia hadi ofisi nzima imejua nimechukia maana alikua shost hasa, ye anadai hana nia mbaya anaenjoy tu kua karibu,
jamani nishaurini nidil nae vp nisiathiri mahusiano ya kazi
Nikiandika kwa kirefu ntatukana, lakini huyu mkaka alijifanya anajua kukea maana kila muda ananichek, mara tukale , mara sijui nini, yaani me nikajua nature wanaume kucare wanawake, naombe itambulike sio kwamba ananipa ofa au nini, ila tukale tu wote, kukiwa na ruti anapendekeza tupangwe wote, kukiwa mna kazi tuwe wote team moja.
Sasa ameanza katabia ka kunionyesha picha za ajabu mara khanga moko , mara kigodoro, mara baikoko, me nikiona tu naipotezea, sasa kakazana me sielewi nimemwambia sizihitaji lakini namuona ananikomalia, acha kujifanya mtoto hivi vya kawaida tu, basi nimemchukia hadi ofisi nzima imejua nimechukia maana alikua shost hasa, ye anadai hana nia mbaya anaenjoy tu kua karibu,
jamani nishaurini nidil nae vp nisiathiri mahusiano ya kazi
Wewe umejuaje haya majina kama nawe si mpenzi wa hizi nyanga?
Otherwise the whole thing ni stori tu ya kufurahisha jamvi
nimepata msamiati mpya mie
"sexual tensions" hahaaaaa
Nikiandika kwa kirefu ntatukana, lakini huyu mkaka alijifanya anajua kukea maana kila muda ananichek, mara tukale , mara sijui nini, yaani me nikajua nature wanaume kucare wanawake, naombe itambulike sio kwamba ananipa ofa au nini, ila tukale tu wote, kukiwa na ruti anapendekeza tupangwe wote, kukiwa mna kazi tuwe wote team moja.
Sasa ameanza katabia ka kunionyesha picha za ajabu mara khanga moko , mara kigodoro, mara baikoko, me nikiona tu naipotezea, sasa kakazana me sielewi nimemwambia sizihitaji lakini namuona ananikomalia, acha kujifanya mtoto hivi vya kawaida tu, basi nimemchukia hadi ofisi nzima imejua nimechukia maana alikua shost hasa, ye anadai hana nia mbaya anaenjoy tu kua karibu,
jamani nishaurini nidil nae vp nisiathiri mahusiano ya kazi
Acha bhana, love n hate wapi, kwanza namshangaa nashindwa nimfanyaje kiukweli ananibore ila nisiseme sana maana nikizidi chukia utasema ndo love n hate inazidi
Nikiandika kwa kirefu ntatukana, lakini huyu mkaka alijifanya anajua kukea maana kila muda ananichek, mara tukale , mara sijui nini, yaani me nikajua nature wanaume kucare wanawake, naombe itambulike sio kwamba ananipa ofa au nini, ila tukale tu wote, kukiwa na ruti anapendekeza tupangwe wote, kukiwa mna kazi tuwe wote team moja.
Sasa ameanza katabia ka kunionyesha picha za ajabu mara khanga moko , mara kigodoro, mara baikoko, me nikiona tu naipotezea, sasa kakazana me sielewi nimemwambia sizihitaji lakini namuona ananikomalia, acha kujifanya mtoto hivi vya kawaida tu, basi nimemchukia hadi ofisi nzima imejua nimechukia maana alikua shost hasa, ye anadai hana nia mbaya anaenjoy tu kua karibu,
jamani nishaurini nidil nae vp nisiathiri mahusiano ya kazi
Wallah siamini kama hii maneno inatoka kinywani mwako...!
Khaaaa!!!!!