Nachukia hii tabia ya co worker

Nachukia hii tabia ya co worker

Nikiandika kwa kirefu ntatukana, lakini huyu mkaka alijifanya anajua kukea maana kila muda ananichek, mara tukale , mara sijui nini, yaani me nikajua nature wanaume kucare wanawake, naombe itambulike sio kwamba ananipa ofa au nini, ila tukale tu wote, kukiwa na ruti anapendekeza tupangwe wote, kukiwa mna kazi tuwe wote team moja.

Sasa ameanza katabia ka kunionyesha picha za ajabu mara khanga moko , mara kigodoro, mara baikoko, me nikiona tu naipotezea, sasa kakazana me sielewi nimemwambia sizihitaji lakini namuona ananikomalia, acha kujifanya mtoto hivi vya kawaida tu, basi nimemchukia hadi ofisi nzima imejua nimechukia maana alikua shost hasa, ye anadai hana nia mbaya anaenjoy tu kua karibu,
jamani nishaurini nidil nae vp nisiathiri mahusiano ya kazi

there is a thin line between love and hate. Unampenda ndo maana unamchukia.
 
Salaam haigombi ila ukaribu wa kupitiliza usitishe.
Kama kuna analotaka kwako afunguke umpe kibuti cha mbavu maisha yasonge,kama ndio domo zege muache aendelee kufa kiofisa!!
 
Nikiandika kwa kirefu ntatukana, lakini huyu mkaka alijifanya anajua kukea maana kila muda ananichek, mara tukale , mara sijui nini, yaani me nikajua nature wanaume kucare wanawake, naombe itambulike sio kwamba ananipa ofa au nini, ila tukale tu wote, kukiwa na ruti anapendekeza tupangwe wote, kukiwa mna kazi tuwe wote team moja.

Sasa ameanza katabia ka kunionyesha picha za ajabu mara khanga moko , mara kigodoro, mara baikoko, me nikiona tu naipotezea, sasa kakazana me sielewi nimemwambia sizihitaji lakini namuona ananikomalia, acha kujifanya mtoto hivi vya kawaida tu, basi nimemchukia hadi ofisi nzima imejua nimechukia maana alikua shost hasa, ye anadai hana nia mbaya anaenjoy tu kua karibu,
jamani nishaurini nidil nae vp nisiathiri mahusiano ya kazi



ngastuka inawezekana jamaa anajipendekeza sana tatzo ni mbahili wa kutoa mapene....si ajab angekuwa anakutoa usingefka huku....si ndivo.?
 
Shosti ulikuwa wapi??
mchane live mwambie hupendi sema unachopenda kama ile michezo ya mpesa,tigopesa,airtel money n.k

nilishikwa na mahaba niue shost
huyu nikimuanzishia michezo ya airtel money ndo atapata ticket ya kuniganda kabisa
 
Suprise kwa kuwa umeshaelewa anakoelekea, huna haja ya kujisumbua.. tumia akili nyingi na nguvu kidogo ....ila ukitumia nguvu nyingi na akili kidogo utaharibu kabisa na ofisi inaweza kuwa vinginevyo. Hii ni ishi ndogo sana kuimaliza. Remember to contain yaself, right sweetheart!!

Thanx Tized
 
Salaam haigombi ila ukaribu wa kupitiliza usitishe.
Kama kuna analotaka kwako afunguke umpe kibuti cha mbavu maisha yasonge,kama ndio domo zege muache aendelee kufa kiofisa!!

kama ndo anasubiri nimpe cha mbavu au kumchana live ndo atazidi choka koz hayo siyawezi, nikikwambia sitaki utadhani simaanishi labda kesho atasema yes, utaendelea kusubiri hadi dunia igeuke, sitaki itabaki staki, hata nikikuchekea haimaanishi yes, dats how i am
 
ngastuka inawezekana jamaa anajipendekeza sana tatzo ni mbahili wa kutoa mapene....si ajab angekuwa anakutoa usingefka huku....si ndivo.?

si kila mda unatamani kupokea, hata kwa ofs mate, mshahara sawa kila lunch akalipe ye inahuuu
 
kama ndo anasubiri nimpe cha mbavu au kumchana live ndo atazidi choka koz hayo siyawezi, nikikwambia sitaki utadhani simaanishi labda kesho atasema yes, utaendelea kusubiri hadi dunia igeuke, sitaki itabaki staki, hata nikikuchekea haimaanishi yes, dats how i am

Kama ndivyo ulivyo na umeshafanya hayo huna sababu ya kuwaza tena umfanye nini.
Kuna maradhi huwa yanaisha yenyewe baada ya muda!!
 
Si umpe tu yaishee! !!!!!!!!!

Nawe kwa kuongea kiluzi hata sehemu za kutoa busara hujambo, kwahiyo wewe huwa unawapa yanaisha wanaokusumbua? Iwapo ni vile mbona Sayansikimu anakusumbua kila siku hujampa? Tupunguze ufunyugulu kwenye topic za kujenga
 
[/B]
Kama ndivyo ulivyo na umeshafanya hayo huna sababu ya kuwaza tena umfanye nini.
Kuna maradhi huwa yanaisha yenyewe baada ya muda!!

sa huyu haelewi kashakariri mwanamke akicheka mins yes, wengine sijui wa wapi
 
Nawe kwa kuongea kiluzi hata sehemu za kutoa busara hujambo, kwahiyo wewe huwa unawapa yanaisha wanaokusumbua? Iwapo ni vile mbona Sayansikimu anakusumbua kila siku hujampa? Tupunguze ufunyugulu kwenye topic za kujenga

nimekupenda bure
 
Au Surprise ni wale wa kundi la hataki ila haoneshi mpaka aombwe ndio akatae!!!!!!!!!

Kuna mmoja aliwahi niambia kuwa yeye anafurahi sana kumkatalia mwanaume ila raha yake ni kumpa mazingira kama anataka halafu akiomba au akianza kuwa serious yeye ndio anakataa rasmi!!!!

Hahaha mkuu OLESAIDIMU umenichekesha sana watu wa ivo wapo sana tu sema.wengine hasira ziko mbali unaweza kumdhuru mtu..halafu ukimwangalia saana anachokiringia wala sio ki ivo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom