Petrol Tank
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 205
- 366
Mi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
Vyuma vimekaza tafuta pesa kwanza chief hulali yaani unageuka kua mpambanaji aka akariMi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
we ni mzembe anyway una kila sababu ya kuanza mazoezi ili mzunguko wa damu wako ukae vizuri la sivyo utakula hasara mbeleni hukoMi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
Sawa kabisaUsitumie nguvu wakati wa kugegeda, we reluxe vyenyewe tu vinafika mwisho. Inaonekana unatumia nguvu sana.hata mimi nilikuwaga hivyo hivyo lakini bahati nzuri niliupata mchepuko ukaniambia " naona unatumia nguvu nyingi sana mpenzi, usilazimishe "
Fanya mazoezMi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
Kula dona mzee,acha kula sembeMi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
Nipo hapaMwanaume goigoi km ww lazima nimtafutie mtu wa kumsaidia,,
Mi mwanaume nikifanya mapenzi nachoka sana huwa nafanya bao moja hata saa nne usiku nikilala nastuka asubuhi na nakuwa bado na usingizi na nakuwa nimechoka siku nzima sijui sababu ni nini
Ng'ombe huwa hazeeki maini. Performance and efficiency hubaki ile ile hadi siku ya mwishoNazani mwili wako umetumika sanaaa kwenye hayo majambo hivyo unaelekea mwisho wakuwa na ufanisi mzuri.
.
Si unajua benz ukiliendesha KM za kutosha thamani yake hushuka na hatimae kufa