Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Ilikuwa wakati wa kihemko mnamo Septemba 8, 2019 katika ibada ya Jumapili ya moja kwa moja kutoka SCOAN, ambapo Nabii TB Joshua chini ya uongozi wa Roho Mtakatifu alikuwa kwenye jukwaa na wana kwaya wa SCOAN.
Mtu wa Mungu anayesifiwa ambaye ameamua kutozungumza lakini kuelezea hisia zake na zile za Waafrika wenye nia moja na ulimwengu kwa jumla kupitia utenzi wa wimbo maalum akiitaka Afrika iungane kwa upendo na mshikamano. Dhima kuu ya huu wimbo ikiwa ni tuache mauaji, tukaribishane sisi kwa sisi. "Afrika tuungane!"
Taswira ya wimbo huu imewagusa wengi sana kwani haijawahi kutokea Nabii TB Joshua kuonekana kwenye Emmanuel TV akimwaga machozi. Tukio la wimbo huu wa halaiki limefanyika kwa sababu ya machafuko ya hivi karibuni nchini Afrika Kusini na Afrika kwa jumla. Katika huu wimbo wa halaiki, tunaweza kuona bango alilobeba Nabii TB Joshua Joshua huku machozi yakitikisa katika macho yake wakati akiendelea kuiimba:
Ili kutokupunguza uzito wa huu wimbo wa halaiki, naomba nikuwekee beti za huu wimbo kwa Kingereza. Beti za huu wimbo ni kama zifuatazo:-
Africa unite
Africa let us unite
We need each other
We need one another to grow
Africa unite
Africa unite
The South cannot do it alone
The West cannot go it alone
The East cannot do it alone
The North cannot go it alone
We need each other
We need one another to grow
See the killing
Over drug misuse
See the fight
As a setback
To Africa
Come together
Oh Africa
Don’t let fellow Africans
Feel unwelcome to our land
Africa unite
Tuungane afrika – Hebu maneno haya yapate kibali moyoni mwako na sala zako tunapojiunga na Nabii T.B. Joshua katika maombi kwa Afrika
Unaweza kuungalia huo wimbo wa halaiki kupitia
Mtu wa Mungu anayesifiwa ambaye ameamua kutozungumza lakini kuelezea hisia zake na zile za Waafrika wenye nia moja na ulimwengu kwa jumla kupitia utenzi wa wimbo maalum akiitaka Afrika iungane kwa upendo na mshikamano. Dhima kuu ya huu wimbo ikiwa ni tuache mauaji, tukaribishane sisi kwa sisi. "Afrika tuungane!"
Taswira ya wimbo huu imewagusa wengi sana kwani haijawahi kutokea Nabii TB Joshua kuonekana kwenye Emmanuel TV akimwaga machozi. Tukio la wimbo huu wa halaiki limefanyika kwa sababu ya machafuko ya hivi karibuni nchini Afrika Kusini na Afrika kwa jumla. Katika huu wimbo wa halaiki, tunaweza kuona bango alilobeba Nabii TB Joshua Joshua huku machozi yakitikisa katika macho yake wakati akiendelea kuiimba:
Ili kutokupunguza uzito wa huu wimbo wa halaiki, naomba nikuwekee beti za huu wimbo kwa Kingereza. Beti za huu wimbo ni kama zifuatazo:-
Africa unite
Africa let us unite
We need each other
We need one another to grow
Africa unite
Africa unite
The South cannot do it alone
The West cannot go it alone
The East cannot do it alone
The North cannot go it alone
We need each other
We need one another to grow
See the killing
Over drug misuse
See the fight
As a setback
To Africa
Come together
Oh Africa
Don’t let fellow Africans
Feel unwelcome to our land
Africa unite
Tuungane afrika – Hebu maneno haya yapate kibali moyoni mwako na sala zako tunapojiunga na Nabii T.B. Joshua katika maombi kwa Afrika
Unaweza kuungalia huo wimbo wa halaiki kupitia